McLaren
JF-Expert Member
- Feb 19, 2025
- 889
- 2,863
Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi amemtaka aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpiga kurejea CCM haraka.
Hivyo, amewaagiza wananchi wa Kisesa mkoani Simiyu kumfikishia salamu hizo Mpina, kwamba siku ya kurudi atampokea mwenyewe ( Dk. Nchimbi) na kumkabidhi kadi.
Ametoa agizo hilo leo alipofika katika Jimbo la Kisesa akielekea wilayani Meatu mkoani Simiyu kwa ajili ya kufanya mkutano wa hadhara, ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu.
"Mwambieni Mpina kaka yako (Dk.Nchimbi) alipita hapa. Tena mwambieni akachukue kadi ya CCM na siku anayoichukua nitampokea mimi mwenyewe. Utaratibu wa CCM unafahamika ukiondooa ni lazima urudi. Kwa hiyo mfikishieni salamu zangu" amesema Mpina.
Hivyo, amewaagiza wananchi wa Kisesa mkoani Simiyu kumfikishia salamu hizo Mpina, kwamba siku ya kurudi atampokea mwenyewe ( Dk. Nchimbi) na kumkabidhi kadi.
Ametoa agizo hilo leo alipofika katika Jimbo la Kisesa akielekea wilayani Meatu mkoani Simiyu kwa ajili ya kufanya mkutano wa hadhara, ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu.
"Mwambieni Mpina kaka yako (Dk.Nchimbi) alipita hapa. Tena mwambieni akachukue kadi ya CCM na siku anayoichukua nitampokea mimi mwenyewe. Utaratibu wa CCM unafahamika ukiondooa ni lazima urudi. Kwa hiyo mfikishieni salamu zangu" amesema Mpina.