mk4
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 285
- 328
Nimeangalia hii video inayotabiri uchumi wa dunia baada ya miaka 2100 nimekuja kushangaa Tanzania ipo kwny top 20 dunia
Nchi za afrika zilizokuwepo ni nigeria,Ethiopia na Tanzania tu
Tanzania itakuwa ya 16 dunia kwa uchumi mkubwa dunia mpaka 2100
Maana na sisi tutakuwa kwny G20
Angalie hii video mpaka mwisho utaona hii kitu
Hii video ipo vizur kwny kutabiri uchumi wa dunia coz ndio ina view nyingi kuliko video yoyote inayoelezea uchumi unao kuja
View attachment 1363621
Mwisho wa hii video wanaonesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi za afrika zilizokuwepo ni nigeria,Ethiopia na Tanzania tu
Tanzania itakuwa ya 16 dunia kwa uchumi mkubwa dunia mpaka 2100
Maana na sisi tutakuwa kwny G20
Angalie hii video mpaka mwisho utaona hii kitu
Hii video ipo vizur kwny kutabiri uchumi wa dunia coz ndio ina view nyingi kuliko video yoyote inayoelezea uchumi unao kuja
View attachment 1363621
Mwisho wa hii video wanaonesha
Sent using Jamii Forums mobile app