mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,093
- 655
Napata utata kidogo katika tafsiri ya 'Nchi za magharibi' hasa pale linpokuja suala la kuzijumuisha nchi za ulaya na Amerika.kimsingi utata zaidi unakuja nikihusianisha jiografia ya nchi hizi na jina lenyewe ' Nchi za Magharibi' .Kwa anayejua jua hasa tafsiri hii anisaidie hili.
Napata utata kidogo katika tafsiri ya 'Nchi za magharibi' hasa pale linpokuja suala la kuzijumuisha nchi za ulaya na Amerika.kimsingi utata zaidi unakuja nikihusianisha jiografia ya nchi hizi na jina lenyewe ' Nchi za Magharibi' .Kwa anayejua jua hasa tafsiri hii anisaidie hili.
Magharibi kutoka tulipo
je na mtu aliye location tofauti na yetu nae atasema ni nchi za magharibi?
Napata utata kidogo katika tafsiri ya 'Nchi za magharibi' hasa pale linpokuja suala la kuzijumuisha nchi za ulaya na Amerika.kimsingi utata zaidi unakuja nikihusianisha jiografia ya nchi hizi na jina lenyewe ' Nchi za Magharibi' .Kwa anayejua jua hasa tafsiri hii anisaidie hili.
Inategemea wewe uko wapi.
LORDVILLE wakati unachagua avatar yako ulizingatia masharti na vigezo gani?
Napata utata kidogo katika tafsiri ya 'Nchi za magharibi' hasa pale linpokuja suala la kuzijumuisha nchi za ulaya na Amerika.kimsingi utata zaidi unakuja nikihusianisha jiografia ya nchi hizi na jina lenyewe ' Nchi za Magharibi' .Kwa anayejua jua hasa tafsiri hii anisaidie hili.
SWALI ZURI!! na mimi nauliza kwa nini nchi kama Tanzania inaitwa nchi dunia ya tatu "third world country"?? je kuna dunia tatu?? na je "second world countries" ni zipi?
je na mtu aliye location tofauti na yetu nae atasema ni nchi za magharibi?
Inategemea yuko wapi, japo kijiografia itabaki vile vile
Sawa kabisa!
Ukiwa Tz kwa kuelekea Kaskazi nchizako za Magharibi ni Congo, Nigeria, Ghana.
Ukiwa Ujerumani, U.k ni nchi yako ya magharibi!
Teh teh teh!
Mulugoism