mwambojoke
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 1,090
- 653
Napata utata kidogo katika tafsiri ya 'Nchi za magharibi' hasa pale linpokuja suala la kuzijumuisha nchi za ulaya na Amerika.kimsingi utata zaidi unakuja nikihusianisha jiografia ya nchi hizi na jina lenyewe ' Nchi za Magharibi' .Kwa anayejua jua hasa tafsiri hii anisaidie hili.