Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 11,618
- 20,555
Ni hayo tuUlitaka kusemaje?..wewe sema tu hata usiogope?
#MaendeleoHayanaChama
Hapana mkuu, kuna pahala umefunika na tunahitaji zaidi [emoji3526]Ni hayo tu
Nilidhani ulitaka kusema nchi zitawaliwe na wafalme?Ni hayo tu
Ni kama tu ujamaa(communism). Kwenye theory mzuri sana, ila kwa ground ni tofauti na destructive.Democracy kwa maana ya kubadili viongozi just by term limit bila sababu zingine ni mfumo uliofeli.
Elezea mapungufu ya Communism Vs Empirialism.Ni kama tu ujamaa(communism). Kwenye theory mzuri sana, ila kwa ground ni tofauti na destructive.
Labda ungesema na Capitalism(ubepari). Imperialism(ubeberu) haukubaliki popote. Ni kitu kibaya.Elezea mapungufu ya Communism Vs Empirialism.
Nadhani tulikosea kufuta uchifu, Leo hii nchi ingekuwa chini ya chifs marealle na chifs masanja tusingekuwa na haya mambo ya hovyoZamani wakati wa ufalme, nchi ilikuwa mali ya mfalme. Mapato yote ya nchi ni yake mwenyewe. Akikopa akashindwa kulipa anafilisika mwenyewe. Wafalme walikuwa makini sana kwenye kukopa. Maana walijua wasipolipa watafilisiwa. Mfalme wa Misri, Mohammed Ali alikopa sana.
Deni liliposhindwa kilipwa Uingereza na Ufaransa, wakavamia nchi. Wakachukua mfereji wa Suez na kuweka waziri wa fedha wao kuhakikisha deni linalipwa. Dynasty yake ikaingia katika aibu.
Leo hii watawala wa kidemokrasia hawamiliki nchi, ni wadhamini tu. Madeni wanayokopa hayawahusu. Kufilisika kwa nchi hakuwahusu. Wapo tu kwa muda mfupi na kisha wanasepa zao. Hata moja ya sababu ya Sri Lanka kuingia shidani ni pamoja na madeni makubwa waliyoshindwa kuyalipa.
Na ubaya demokrasia inakulazimisha tu kukopa. Watu wanataka kodi nafuu, mishahara mikubwa, chakula cha kama bure nk nk. Nafikiri serikali za kidemokrasia, hasa za nchi maskini ziko doomed kufeli.
Democracy ni mfumo mzuri saana mamlaka yanakuwa chini wa wananchi wenyewe sema tuna katiba mbovu inayolinda viongozi wasio waadilifu , tufumue hii katiba tupate mpya viongozi watawajibika bila shaka .....Ni kama tu ujamaa(communism). Kwenye theory mzuri sana, ila kwa ground ni tofauti na destructive.
Kinachoni kera kwa viongozi waafrika nikutokujua thamani ya utu wetu, thamani ya Rasimali tulizonazo yaani wanaingia mikitaba isiyonatija wa Mataifa yao bali kwa maslahi yao wenywewe ,wajukuu watapiga makaburi yao siku mmoja kwakweli ,,yaani insikitisha saana kwakweli wanajua kutembeza bakuli tuu "they know nothing about self reliance """hawana hata chembe ya aibu.......Democracy ni mfumo mzuri saana mamlaka yanakuwa chini wa wananchi wenyewe sema tuna katiba mbovu inayolinda viongozi wasio waadilifu , tufumue hii katiba tupate mpya viongozi watawajibika bila shaka .....
Demokrasia si mfumo mzuri hata kidogo. Haiwezekani watu wote wakawa na mamlaka. Kitachotokea ni vurugu. Nadhani bado hatujapata mfumo mzuri wa kutuongoza. Binafsi nafikiria labda Technocracy ni mzuri.Democracy ni mfumo mzuri saana mamlaka yanakuwa chini wa wananchi wenyewe sema tuna katiba mbovu inayolinda viongozi wasio waadilifu , tufumue hii katiba tupate mpya viongozi watawajibika bila shaka .....