Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 14,952
- 34,959
🤣🤣 aiseHapa kwenye filter tuache kidogo
Tukikutana utaeleweshwa
🤣🤣 aiseHapa kwenye filter tuache kidogo
Tukikutana utaeleweshwa
Mimi sijui nina shida gani sichagui rangiNa pia wanaume mnajidai hampendi wanawake wanaojichubua ni uongoooooooo😀
Kwenye picha unakuta demu ameglow mbaya halafu kachonga sura sijui iwe oval mara kaongeza weupe kwenye macho na meno, halafu kope zinapigwa weusi, ukiangalia picha ni mtu mtu kweli, kutana nae sasa, utatamani umulize we si una meno meupe wewe imekuaje 😃Ame glow hahaha
Untakuta kitu limejichubua kama kina Irene uwoya, wolper n.k alafu linauza Sawa anasema unaGLOW?!Kuglow jomoni sio kugrow😁😁
Mkulima hachagui jembe ila lazima kuna ile favouriteMimi sijui nina shida gani sichagui rangi
Mi najua filter ina kufanya soft ila haibadili sura 😁Kwenye picha unakuta demu ameglow mbaya halafu kachonga sura sijui iwe oval mara kaongeza weupe kwenye macho na meno, halafu kope zinapigwa weusi, ukiangalia picha ni mtu mtu kweli, kutana nae sasa, utatamani umulize we si una meno meupe wewe imekuaje 😃
Hii ni wanawake wanaojichubua. Hapo kuna wanaotumia high quality products hutawajua na wanaotumia low quality product unaweza kuwajua. Pia eneo moja wanaweza kuwa 15 eneo lingine wawili. Kusema 50% haina maana kuwa kila upitapo utawakuta watu mmoja kajichubua mwingine hajajichubua.Kwamba kila ukipita njiani unao kutana nao Barabarani watu wawili mmoja anajichubua, si kweli.
I bet kuna watu wengi Nchi hii ambao hajawahi hata kupaka lotion ama kipodozi chochote kuliko ambao wamepaka.
Filter inakufanya soft ila baada kupiga unaweza kuedit ndio kuna hayo mazagazaga KibaoMi najua filter ina kufanya soft ila haibadili sura 😁
Filter na edit juu kwamba una sura ya baba kiasi gan😂😂Filter inakufanya soft ila baada kupiga unaweza kuedit ndio kuna hayo mazagazaga Kibao
😄😄 si unataka uonekane vizuri mitandaoni,kuna mpaka kuondoa chunusi yaani unakua kama mdoli hiviFilter na edit juu kwamba una sura ya baba kiasi gan😂😂
Majirani zetu wa EAC hawamo, wanawake zao wanajitambua.Nchini Nigeria, asilimia 77 ya wanawake hutumia bidhaa za kubadilisha rangi ya ngozi (bleaching), jambo linaloifanya kuwa na kiwango cha juu zaidi cha matumizi ya bidhaa hizo barani Afrika. Aidha, kati ya asilimia 52 hadi 67 ya wanawake huko Dakar, Senegal, wanaripotiwa kutumia bidhaa za kubadilisha rangi ya ngozi. Hali hii inaonyesha kuwa matumizi ya bidhaa hizi yameenea kwa kiasi kikubwa katika baadhi ya maeneo ya Afrika Magharibi.
Nchini Cameroon, idadi kubwa ya vijana imeonekana kujihusisha na tabia ya kubadilisha rangi ya ngozi. Ingawa mara nyingi vitendo hivi huhusishwa zaidi na wanawake, tafiti kadhaa zimeonyesha kuwa hata wanaume wanashiriki katika matumizi ya bidhaa hizi, ingawa kwa kiwango kidogo. Hii inaashiria kuwa shinikizo za kijamii na mitazamo kuhusu urembo vinaathiri watu wa jinsia zote.
View attachment 3562914
Nchi za Afrika zinazoongeza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching);
1. Nigeria: 77%
2. Kongo-Brazzaville: 66%
3. DR Kongo: 59%
4. Ghana: 56.6%
5. Senegal: 52%
6. Tanzania: takriban 50%
7. Togo: 40%
8. Afrika Kusini: 35%
9. Zimbabwe: 31.1%
Katika hao wanaume mie nitowele.. mwanamke akijichubua, tayari kuna marks zinapungua.Wanaojichubua wana hoja
Wanaume wengi wanapenda rangi mtume win-one
Kazi ipo mm picha za mtandaoni hazinibabaishi sana 😂😄😄 si unataka uonekane vizuri mitandaoni,kuna mpaka kuondoa chunusi yaani unakua kama mdoli hivi
Kwa heshima mkuu🫡Katika hao wanaume mie nitowele.. mwanamke akijichubua, tayari kuna marks zinapungua.
Nchini Nigeria, asilimia 77 ya wanawake hutumia bidhaa za kubadilisha rangi ya ngozi (bleaching), jambo linaloifanya kuwa na kiwango cha juu zaidi cha matumizi ya bidhaa hizo barani Afrika. Aidha, kati ya asilimia 52 hadi 67 ya wanawake huko Dakar, Senegal, wanaripotiwa kutumia bidhaa za kubadilisha rangi ya ngozi. Hali hii inaonyesha kuwa matumizi ya bidhaa hizi yameenea kwa kiasi kikubwa katika baadhi ya maeneo ya Afrika Magharibi.
Nchini Cameroon, idadi kubwa ya vijana imeonekana kujihusisha na tabia ya kubadilisha rangi ya ngozi. Ingawa mara nyingi vitendo hivi huhusishwa zaidi na wanawake, tafiti kadhaa zimeonyesha kuwa hata wanaume wanashiriki katika matumizi ya bidhaa hizi, ingawa kwa kiwango kidogo. Hii inaashiria kuwa shinikizo za kijamii na mitazamo kuhusu urembo vinaathiri watu wa jinsia zote.
View attachment 3562914
Nchi za Afrika zinazoongeza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching);
1. Nigeria: 77%
2. Kongo-Brazzaville: 66%
3. DR Kongo: 59%
4. Ghana: 56.6%
5. Senegal: 52%
6. Tanzania: takriban 50%
7. Togo: 40%
8. Afrika Kusini: 35%
9. Zimbabwe: 31.1%