Nchi za Afika zenye maendeleo ya viwanda

Mstahiki Mea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
6,129
Reaction score
11,387
Viwanda ndio uchumi imara, Kama huna viwanda vya kutosha huwezi kuwa na uchumi mzuri. Hakuna maendeleo au ukuaji mzuri wa kiuchumi bila kuwa na uzalishaji unaotokana na viwanda kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali hizi ndizo nchi zilizoendelea kiviwanda katika bara Africa.

1)- South Africa πŸ‡ΏπŸ‡¦

2)- Egypt πŸ‡ͺπŸ‡¬

3)- Morocco πŸ‡²πŸ‡¦

4)- Tunisia πŸ‡ΉπŸ‡³

5)- Nigeria πŸ‡³πŸ‡¬

6)- Mauritius πŸ‡²πŸ‡Ί

7)- Senegal πŸ‡ΈπŸ‡³

8)- Kenya πŸ‡°πŸ‡ͺ

9)- Namibia πŸ‡³πŸ‡¦

10)- Cameroon πŸ‡¨πŸ‡²
 
Kama ni mpira sisi ni toto africa.🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…