Nchi ya walevi

IKIRIRI

JF-Expert Member
Jan 14, 2018
2,734
3,017
Sikukuu ya Christmas kwa mujibu wa waumini ni sikukuu takatifu, lakini cha kushangaza ndio siku ambayo pombe inapewa nafasi.

Mfano mdogo kwenye treni inayoenda Kilimanjaro abiria wanaomba kilevi kiongezwe coz ni msimu wa Christmas.

Na serikali imetii kuongeza creti za bia kutoka 50 hadi 150 kwa siku hii ni hatari.

Inaonyesha ni kwa namna gani nchi hii imejaa walevi na serikali inasapoti.

Ifike mahali serikali itoe heshma kwa sikukuu kama hizi.

Pombe ni HARAMU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahhhh....
Misijui hata nilifikaje nyumbani..
tapatalk_1577347409835.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwako haramu nipombe tu?
Sikukuu ya Christmas kwa mujibu wa waumini ni sikukuu takatifu, lakini cha kushangaza ndio siku ambayo pombe inapewa nafasi.

Mfano mdogo kwenye treni inayoenda Kilimanjaro abiria wanaomba kilevi kiongezwe coz ni msimu wa Christmas.

Na serikali imetii kuongeza creti za bia kutoka 50 hadi 150 kwa siku hii ni hatari.

Inaonyesha ni kwa namna gani nchi hii imejaa walevi na serikali inasapoti.

Ifike mahali serikali itoe heshma kwa sikukuu kama hizi.

Pombe ni HARAMU.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ya
Chrismass yenyewe ni fake bado watu wasipige mitungi nyie vipi. Wapi pameandikwa YESU alizaliwa tar 25/12 acheni zenu. Na sisi tusio abudu sasa mnataka tusipige bia kisa nyie na akili zenu mbovu za kutokuhoji.
ani kwa jinsi ulivyoandika hapa nimekufananisha sana na huyu ndugu hapa.
 
Kadri watu wanavyospend,ndivyo uchumi unachangamka,wauza pombe,wafuga mbuzi,walima nyanya,vitunguu na pilipili mbuzi wameuza Sana hi sikukuu na wamepata karo za kulipa shule January,
Shule nazo zitapata pesa na kulipa Kodi na serikali itapata Kodi na kumalizia reli ya umeme ili mkulims aweze kusafirisha mahindi,viazi ndizi etc kea urahisi kupeleka daslamu kuuza
 
Mkiwa mnasherekea sikukuu zenu hakuna mtu anaewabugudhi lakini wengine tukisherekea roho zinawauma. Embu tuacheni tunywe mbege na bia kwa amani, hivi kunywa pombe ndio dhambi kubwa kuliko zote, mbona siwaoni mkikemea uzinzi, wizi, ufisadi, ulafi n.k. Fuatilieni yanayowahusu. Karibu huku mgombani uonje kidogo upunguze stress.
 
Back
Top Bottom