Nchi ya Uturuki (Turkey)

majina yao huko ndio yananichekesh
antalyaspor
konyaspor
Adana demispor
buzaspor
matalyaspor
yemispor
instanbulspor
instAnbul baksekhir
 
Nimeishi huko takribani mwaka mmoja ni sehemu nzuri mno.....changamoto ni pale utakapokutana na watu wasiojua kiingereza .itabidi ujifunze lugha yao. Safari njema mkuu
kwan kiingereza hawajui?
hiyo lugha yao MBNA kali
 
Najiandaa kuitembelea kibiashara, ntakucheki mkuu
 
nomaa
 
Ndio nchi ya Wagalatia unayoisikia kwenye Biblia. ni nchi ya watu wenye akili ya kijinga kijinga... leo wakishikwa njaa upo nao na wakishashiba hujidai hata kukutukana kesho njaa ikiwashika wanakuomba uwasidie hao ndio Wagalatia au Waturuki. Juzi wamemtusi Marekani anayemsaidia kwa asilimia nyingi na Kwa Israel miaka michache tu wamerejesha uhusiano now anaipinga huku bado anamshikilia na pia anashawishi nchi zingine ziingie King mbaya kama Tanzania baadae tutaibika kufuata akili ya Wagalatia
 
Sijaenda au kukaa huko, ila kwa taarifa niliyoipata ni nchi nzuri tu, ndiyo nchi inayotenganisha Asia na EU..
Wana maendeleo kama EU, wanajitegemea, wako makini na zamani hizo (kutokana na vitabu vya historia), enzi za Ottoman Empire hawa jamaa walikuwa na nguvu sana...
Je ukaoeme kule, ndio, je kunaishika ndiyo, kabisa....
Ukafanye kazi? Ndio, wako kama wa Italiano, ila upige kazi usilete za uvivu vivu kama za bongo...
Maendeleo yao hayana tofauti na nchi nyingi EU...
Ubaguzi upo? Sana tu.. Kwani kuna sehemu haupo?! Hata South Africa upo!
Ni wewe tu kuamuwa, tena wana chakula kizuri sana, kama kwetu tu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…