agristeph
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 214
- 184
Wakati January Makamba akikaa chini kuwaza asaidiane vipi na wananchi wake wa Bumbuli kuleta maendeleo Lema anajikuta analazimisha kulala gerezani Kisongo ili akitoka apewe heshima ya mfanano wa Mandela!
Wakati January akiendelea kuwakusanya wananchi wa Bumbuli kwa njia mbalimbali ili waweze japo kusogea hata hatua moja kwa kuja na kitu kama Bumbuli Development Corporation Lema yeye anatafuta either wanafunzi wa chuo au madreva bodaboda watatue kero zao kwa vurugu na maandamano! Sijui anataka au analazimisha sifa Che Guevara wakati hayuko msituni yuko mjini.
Halafu leo wanahoji January amekuwaje "one of the powerful men in Africa",wengine wanahoji mbona hata Arusha hajulikani!!
Ningeshauri watu watembelee site yake January Makamba.com waone tofauti ya utendaji na kelele za vurugu,waone hiyo "nguvu" wanayozungumzia Forbes ni ipi,waelewe kuwa January hajawekwa kwenye money league..
Wale mnaohoji mbona Arusha hafahamiki,atafahamikaje Arusha wakati mkoa wangu tunapenda wapiga kelele na vurugu zaidi?
Kumalizia tu,wanaposema the most powerful men IN AFRICA haimaanishi ana nguvu Africa nzima,kuna watu wako kwenye list wanigeria ambao hata jirani zao Benin au Ghana hawawajui!
Nimalizie kwa kusema au kuuliza "tunafaidika nini kwa kufanya hate preaching?"
Najua vijana wa Chadema watanivamia maana mtu akipingana nao mawazo tu wanaweka kichwani ni lazima awe CCM,hapana..niko very sober kwenye vyama vya siasa! Natoa credit where it's due.
Jumapili njema.
Wakati January akiendelea kuwakusanya wananchi wa Bumbuli kwa njia mbalimbali ili waweze japo kusogea hata hatua moja kwa kuja na kitu kama Bumbuli Development Corporation Lema yeye anatafuta either wanafunzi wa chuo au madreva bodaboda watatue kero zao kwa vurugu na maandamano! Sijui anataka au analazimisha sifa Che Guevara wakati hayuko msituni yuko mjini.
Halafu leo wanahoji January amekuwaje "one of the powerful men in Africa",wengine wanahoji mbona hata Arusha hajulikani!!
Ningeshauri watu watembelee site yake January Makamba.com waone tofauti ya utendaji na kelele za vurugu,waone hiyo "nguvu" wanayozungumzia Forbes ni ipi,waelewe kuwa January hajawekwa kwenye money league..
Wale mnaohoji mbona Arusha hafahamiki,atafahamikaje Arusha wakati mkoa wangu tunapenda wapiga kelele na vurugu zaidi?
Kumalizia tu,wanaposema the most powerful men IN AFRICA haimaanishi ana nguvu Africa nzima,kuna watu wako kwenye list wanigeria ambao hata jirani zao Benin au Ghana hawawajui!
Nimalizie kwa kusema au kuuliza "tunafaidika nini kwa kufanya hate preaching?"
Najua vijana wa Chadema watanivamia maana mtu akipingana nao mawazo tu wanaweka kichwani ni lazima awe CCM,hapana..niko very sober kwenye vyama vya siasa! Natoa credit where it's due.
Jumapili njema.