General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,061
Nchi nyingine zijifunze toka china.
China hawana mashart ya ajabu ajabu, china ni rafiki wa kweli.
Bado kauli hii sijaielewa naomba wenye kujua wanijuzee,
kwanza hizo nchi zenye mashart ya ajabu ajabu ni zipi, hayo mashart ni yapi?
Je nchi hizo bado tuna balozi zao hapa?
Ikitokea nchi hizo zenye mashart ya ajabu ajabu wakajitoa katika kufadhili miradi na misaada tutaweza kujimudu?
Kulikua kuna ulazima wakuyaongea hayo mbele ya wananchi?
Wasalaam
China hawana mashart ya ajabu ajabu, china ni rafiki wa kweli.
Bado kauli hii sijaielewa naomba wenye kujua wanijuzee,
kwanza hizo nchi zenye mashart ya ajabu ajabu ni zipi, hayo mashart ni yapi?
Je nchi hizo bado tuna balozi zao hapa?
Ikitokea nchi hizo zenye mashart ya ajabu ajabu wakajitoa katika kufadhili miradi na misaada tutaweza kujimudu?
Kulikua kuna ulazima wakuyaongea hayo mbele ya wananchi?
Wasalaam