..Watawala wetu bado akili zao ziko ndani ya chupa uwezo wa kufikiri kwa mapana hawana zaidi ya kubwatuka kwenye majukwaa. haingii akili mikoa ya Lindi na Mtwara kutoke gesi lakini gesi hiyo inaamishwa kwenda mikoa mingie utadhani wenyeji wameshatosheka.....Sijui ndio hawa wanaitwa wanafikiri kwa kutumia makalio???Mikoa ya Kusini ni bomu linalosubiri kulipuka. Rasilimali kibao zimeanza kuwatoa imani na utu Watawala wetu. Na mazowea ya uporaji na kutojali ni kichocheo cha ndoto ya wanakusini. Gesi toka Songosongo inawanufaisha watu wa mikoa mingine Gesi ya Mnazi Bay ikiunganishwa na ile ya Songosongo kuelekea Mwanza (rejea mipango ya NSSF kujenga bomba Mnazi Bay- Dar-Mwanza) itakuwa uamsho tosha kwa wenyeji wa huko. Tusubiri tuone!
ubaguzi ?watanganyika kutoruhusiwa kumiliki ardhi zanzibar sio ubaguzi hakuna haja ya kukimbia vivuli vyetu tuwe wakweliacha ubaguzi ni dhambi kubwa hiyo
Hizo nchi hapo juu ukioondoa Somali, zinaweza tu kujitenga hiwapo itathibitishwa kuwa wana mafuta ya kutosha kuchimbwa kwa zaidi ya miaka mia moja (100)...!Baada ya Sudan ya Kusini kujitenga kutoka main Sudan na kuongeza idadi za nchi katika bara la Afrika na duniani kwa ujumla, inaonekana inaweza kuwa chachu kwa baadhi ya majimbo ama nchi kumegeka,
inaweza kuongeza nguvu kwa nchi zilizokuwa kwenye maelekeo huo na pia inawweza kuwa chachu kwa nchi/majimbo mapya, baadhi ya majimbo na nchi hizo ni kama ifuatavyo
1)TAnzania
Kwa hali ya kisiasa na nchi kukosa mwelekeo wa kujua ni kipi cha kushika kwanza, kuna uwezekano mkubwa wa Zanzibar kutoka kwenye muungano,
2) DRC
Ni miongoni mwa Nchi kubwa kabisa Barani Afrika na duniani
Tatizo kubwa la DRC ni Majimbo yaliyogawanjwa kwa minajili ya ukabila, Congo DR pana ukabila mkali kabisa, Baadhi ya Province za Congo zimeendelea sana na sababu zinazotoka kwenye province ambazo ziko nyuma kimaendeleo ni kuwa hizo zimeendelea kutokana na viongozi
3) Morocco
Polisario wamepigana kwa miaka mingi mno kutaka kutoka Morocco na kuwa na nchi yao ya Sahara Magharibi, haya mapinduzi ya nchi za kiarabu na kupatikana kwa uhuru wa Sudan ya kusini ambao walikuwa almost wanafanana kwenye kutafuta uhuru wao,inawatia Chachu kubwa kwa watu wa sahara Magaharibi, kuongeza nguvu zao za kudai Nchi "yao"
4) Somalia na SomaliLand nchi inayojiendesha yenyewe lakini bado haijajitangazia uhuru wake,
5) Baada ile issue ya Biafra Nigeria inaonekana kana kwamba bado wapo Pamoja, lakini muendelezo wa siasa za Kidini na Kikabila zinaonyesha wazi uwezekano wa nchi kumegeka
mitizamo yenu ni ipi wana JF
Hizo nchi hapo juu ukioondoa Somali, zinaweza tu kujitenga hiwapo itathibitishwa kuwa wana mafuta ya kutosha kuchimbwa kwa zaidi ya miaka mia moja (100)...!
Wanachotakiwa ni kuongea tu na wakubwa wa hii dunia na kuwahakikishia tenda zote wanakamata wao tu basi.... zengwe litatengenezwa... baada ya hapo Damu zinamwagwa baada muda nchi zinagawanywa.
We jamaaZenj wajikate, wasituzingue wabara kwa kelele zao za taarabu. Waishie kuimba nyimbo zao huko za bata na samaki. Ngoja nitafute binti nioe kabla ya Ramadhani.
Tunahitaji Chagga National yetu.kwa upande wa tanzania bado hatutagawanyika
Mkishajitenga hamtakuwa salama, mtaendelea kujitenga tu wamarangu kivyao, wamachame kivyao, waoldmoshi kivyao, warombo kivyao, wakishumundu kivyao n.kTunahitaji Chagga National yetu.
Umesahau Sukumaland jinsi inavyokuja kwa kasi!!
Sio lazma kila uzi uchangie nduguZenj wajikate, wasituzingue wabara kwa kelele zao za taarabu. Waishie kuimba nyimbo zao huko za bata na samaki. Ngoja nitafute binti nioe kabla ya Ramadhani.