mahwahwajr
Member
- Jun 10, 2010
- 18
- 22
sawa, magufuli ni mchapa kazi ila tatizo lipo kwenye chama anacho fungamana nacho, hapo tuuuu. Hivi unamkumbuka profesa muhongo? Ubaya wake upo wapi zaidi ya kufungiwa nira na ccm?. Mkuu tafadhali acha kuitetea ccm, nina kila sababu za kuwakataa ccm kwani wamenihujumu mimi binafsi na pia wameihujumu jamii kwa ujumla ambayo mimi ni miongoni mwayo.
Sawa Dr Pombe hana shida..Lakini akishinda itakua tu business as usual tu..Kina vijanaa January, Rizi na nani watapewa uwaziri, mafisadi watalindwa, umaskini utadumishwa..
Kaka, i can feel your pain, lakini nchi yetu inwahitaji viongozi wa aina hii. Mimi wala siitetei CCM. Hili timbwili linaloendelea sasa hivi lazima limeinyoosha CCM kama kweli unadhani imewatenda vibaya wananchi wake. Nchi yetu inamhitaji sana Dr Magufuli
sawa, magufuli ni mchapa kazi ila tatizo lipo kwenye chama anacho fungamana nacho, hapo tuuuu. Hivi unamkumbuka profesa muhongo? Ubaya wake upo wapi zaidi ya kufungiwa nira na ccm?. Mkuu tafadhali acha kuitetea ccm, nina kila sababu za kuwakataa ccm kwani wamenihujumu mimi binafsi na pia wameihujumu jamii kwa ujumla ambayo mimi ni miongoni mwayo.
Kaka, i can feel your pain, lakini nchi yetu inwahitaji viongozi wa aina hii. Mimi wala siitetei CCM. Hili timbwili linaloendelea sasa hivi lazima limeinyoosha CCM kama kweli unadhani imewatenda vibaya wananchi wake. Nchi yetu inamhitaji sana Dr Magufuli