Nchi inahitaji ubunifu na uthubutu wa Mh. Paul Makonda

Nchi inahitaji ubunifu na uthubutu wa Mh. Paul Makonda

mapupu

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2017
Posts
248
Reaction score
213
Tunaweza tusikubalie na kila jambo linalomhusu Paul Makonda, lakini ni vigumu sana kutokubaliana na mambo mawili makubwa, ubunifu na uthubutu wa Paul Makonda. Mambo haya mawili ni adimu sana kwa viongozi wa sasa. Ukarabati wa magari ya polisi na suala la kuwaweza watumishi kupata viwanja vya makazi ni mambo machache mno katika mengi ambayo amethubutu kuyafanya au yapo kwenye mchakato wa kufanywa.

Natamani sana Mh. Makonda apewe nafasi ya kitaifa ili wananchi wengi wafaidike na ubunifu wake.
 
Dar Es salaam haijawahi kupata RC Maarufu wa kiwango cha Paul Makonda, mwanzoni nilidhan hakutakuja kutokea RC wa kumfunika Ditopile au Mzee Makamba Kumbe sikuwa sahihi!
 
Siku ambayo watu watatambua kazi za mkuu wa mkoa ni zipi nadhani ndio watagundua kama Makonda anachokifanya ni sahihi ama sio sahihi
 
Mungu azidi kumbariki..
Natumaini kwa Mikoani wahusika wowote nao watafanya hayo ya viwanja etc.. kwa watumishi na wananchk nao wafurahie kama wa Dar.

Makonda oyeeee
 
Ubunifu wa
1. Kumpiga warioba

2. Kumfilisi Manji

3. Kusingia watu dawa za kulevya

Silly argument
 
Mungu azidi kumbariki..
Natumaini kwa Mikoani wahusika wowote nao watafanya hayo ya viwanja etc.. kwa watumishi na wananchk nao wafurahie kama wa Dar.

Makonda oyeeee

Ngoja albadili ianze kazi
 
Angefanya ki2 ambacho binadamu mwngne hawezi kufanya ndo 2ngempa credit, lkn anayofanya cio mambo ya kusifiwa maana kila m2 ambaye anaweza kupewa dhamana anaweza kufanya.
 
Angefanya ki2 ambacho binadamu mwngne hawezi kufanya ndo 2ngempa credit, lkn anayofanya cio mambo ya kusifiwa maana kila m2 ambaye anaweza kupewa dhamana anaweza kufanya.
Viongozi wengi hawana ubunifu wa Makonda, nchi inahitaji viongozi wengi wa aina yake
 
Viongozi wengi hawana ubunifu wa Makonda, nchi inahitaji viongozi wengi wa aina yake
Mapupu Akili yako kiwango cha zero kama uyo ndugu yako kaz gan anaweza zaidi ya kuonea watu na utapeli
 
Tunaweza tusikubalie na kila jambo linalomhusu Paul Makonda, lakini ni vigumu sana kutokubaliana na mambo mawili makubwa, ubunifu na uthubutu wa Paul Makonda. Mambo haya mawili ni adimu sana kwa viongozi wa sasa. Ukarabati wa magari ya polisi na suala la kuwaweza watumishi kupata viwanja vya makazi ni mambo machache mno katika mengi ambayo amethubutu kuyafanya au yapo kwenye mchakato wa kufanywa.

Natamani sana Mh. Makonda apewe nafasi ya kitaifa ili wananchi wengi wafaidike na ubunifu wake.
Akili yako imejaa matope, kiasi ambacho unakuja kusifia hopeless people hapa.
 
Huyu jamaa ana historia ya kutokamilisha mambo anayoyaanzisha. Ni mapema sana kwa sasa kusema lolote.
 
Makonda yuko Tabora ni mtangazaji wa redio moja huko,Huyo unayemzungumzia ni Daudi Albert Bashite!
 
Back
Top Bottom