Kama kila Kiongozi anayetaka kutumia akili zake anafukuzwa au kutolewa kwenye mfumo kimya kimiya tusipoamka sasaivi basi Tumekwisha.
Ata Samia angesimamia 4R kwa ukweli Wangemuondoa. Naamini kuna genge Kusini mwa Africa limefanikiwa kuteka kabisa hizi nchi.
Haya Matajiri yasiyoisha kwenye sebure za ikulu zetu kilasiku.
1. Alianza Mpango akatolewa akaambiwa kaa kimya.
2. Majaliwa kasimu akaambiwa asigombee akae kimya.
3. Simbachawene, Tulia aksoni, Ndugai, Lukuvi, Akina Biteko na wote wamenyamazishwa.
4. Polepole, Magufuli, Lukuvi walitumiwa kujenga mfumo baadae wakatoka kwenye vifo tata kabisa.
Kama wote wenye akili wametulizwa tuli. Rungu wakaachiwa akina. Mwigulu na Makonda nao wanaaminishwa makubwa lkn wakiwamaliza wenzao ndio basi tena na wao wanapitishwa njia ile ile.
Tulia aliifanyia nini CCM na sasa yuko wapi?
Ni wakati wa wanaCCM kuamka usingizini NCHI NI KAMA INATEKWA KIMYA KIMYA HII.