Nchi Imesimama?

Una kichaa kichwani,punguza kunywa gongo uliyohalalishiwa na padri slaa,ipo siku atahalalisha kuoa wake zenu makada wake.

Tunajadili mafuriko, mgomo wa wafanyabiashara, kupanda kwa umeme na maji, wewe unaleta habari za porojo za Slaa. Una akili timamu?
 
Tunajadili mafuriko, mgomo wa wafanyabiashara, kupanda kwa umeme na maji, wewe unaleta habari za porojo za Slaa. Una akili timamu?

kuna wengine wamepitiliza kuwa wafuasi wa vyama....ni kweli ni wa kuwapuuza na hii inanipa hofu ya mustakabali wa katiba
 
kuna wengine wamepitiliza kuwa wafuasi wa vyama....ni kweli ni wa kuwapuuza na hii inanipa hofu ya mustakabali wa katiba
Bro,
Pointi ulizoleta ndizo zinagusa taifa kwa sasa. Mgomo wa wafanyabiashara umetuathiri wengi sana. Mafuriko yametuharibia barabara na umeme haushikiki. Tukiwa tunajadili haya masuala na athari zake kwa uchumi, mtu anahamisha mada. Ningemuwa mod ningem-ban kwa masaa kadhaa!
 
Nchi imesmama kwani ilikuwa inaenda wapi?
 
Mkuu si unaona anavyozidi kuvuruga huko? anaomba magari na pesa ya ku train game rangers and with due time Tanzania itakuwa pro gay
 

Mkuu kwa kweli hili la umeme kila nikifikiria linanigusa moyo wangu tena nashtuka naona ni kama umeonda mara mbili kwani sasa ni nusu mwezi kwangu umeisha na nilitoa hela ya mwezi mzima............hivi kwa nini hawatusikilizi haa? tumlilie nani sasa? kila mtu analia katika wigo wake jamani...................
 
Umeandika uzi huu ukiwa tayari umekunywa chai iliyotengenezwa kwa nishati ya umeme.
Chai uliyokunywa imekolezwa na sukari ya kilombero
Sukari hiyo imeletwa katika barabara zilizo karabatiwa na srikali ya CCM
Na kama umekula kamhogo , kamefika hapo kwa magari yaliyotumia diesel ambayo haijapanda bei muda sasa
unaandika uzi huu baada ya kuchaji ka samsung kao au kompyuta mpakato ofisini- kwa nishati ile ile

Zaidi ya hapo, pengine huna mipango yoyote ya kipato cha ziada, kana mtadi vile
Walia zaidi kwa kunyoosha mikono kama Matonya ili kipato kiongezwe kwa kutokana na kodi

Mimi niko likizo lakini nina uhakika wewe ukiwa kazini unatumia muda wa mwajiri wako,unamwibia!

Tatizo kubwa zaidi la Watanzania ni kutojua jinsi ya kujikomboa kiuchumi, hivyo macho yote yako kwenye siasa.
 

Kumbe una akili
 

Tupe somo mkuu achana na hawa mafa.la yamejaza pumba za ccm vichwani mwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…