gollocko
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 2,945
- 2,281
Nchi iko vitani, hivi ndivyo limeripoti leo gazeti la majira likimaanisha kuwa Tanzania hupata misaada kama nchi zilizovitani huku wabunge wakiikosoa serikali kwa jinsi inavyotumia misaada hiyo!
Lakini hebu tujiulize hivi Tanzania bila misaada hatuwezi kufanya kitu chochote? Maana majengo na miundo mbinu yote mikubwa na muhimu ni kutokana na misaada mfano,asilimia 80 ya barabara zote nchini ni misaada, uwekezaji karibu wote kwenye kusambaza maji kwa wananchi ni misaada, uwekezaji katika nishati na madini ni misaada, reli ya Tazara,Uwanja wa Taifa,Ukumbi wa Bunge na mambo mengine mengi huwa ni misaada, hata bugeti ya nchi kwa mwaka asilimia 40 ni misaada!
Hivi kweliI Tanzania hatuna uwezo wa kujiendesha wnyewe mpaka tutegemee misaada kwenye kila kitu?
Lakini hebu tujiulize hivi Tanzania bila misaada hatuwezi kufanya kitu chochote? Maana majengo na miundo mbinu yote mikubwa na muhimu ni kutokana na misaada mfano,asilimia 80 ya barabara zote nchini ni misaada, uwekezaji karibu wote kwenye kusambaza maji kwa wananchi ni misaada, uwekezaji katika nishati na madini ni misaada, reli ya Tazara,Uwanja wa Taifa,Ukumbi wa Bunge na mambo mengine mengi huwa ni misaada, hata bugeti ya nchi kwa mwaka asilimia 40 ni misaada!
Hivi kweliI Tanzania hatuna uwezo wa kujiendesha wnyewe mpaka tutegemee misaada kwenye kila kitu?