Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 9,324
- 15,007
Ni jambo la kushangaza na la kusikitisha sana mpaka leo hii nchi 14 zilizokuwa Makoloni ya Ufaransa bado zinalipa kodi Ufaransa kama malipo ya Nchi hiyo (Ufaransa) kwenye uwekezaji iliyofanya huko kama vile Miundo Mbiu ya Br., Reli, Bandari n.k!
Nchi hizo ni Kongo, Ivory Coast, Togo, Afrika ya Kati, Mali, Niga, Benini, Burkina Faso, Kameruni, Equatorial Guinea, Gabuni, Chadi, Guinea Bisau, na Senegali!
Hayo ni makubaliano ambayo Serikali ya Ufaransa iliafikiana na nchi hizo ya kwamba ili Ufaransa isiharibu kila kitu ilichojenga kama Shule, Vyuo Vikuu, Zahanati n.k basi ni lazima nchi ziendelee kulipa kodi!
Inasemekana ya kwamba fedha ambazo nchi ya Ufaransa inachukua kama kodi ktk kwenye nchi hizo za Kiafrika ni asilimia 40% ya Uchumi mzima wa Nchi ya Ufaransa na uchumi wa Ufaransa ni kama Dola za Kimarekani 2.5 trilioni, sasa piga hesabu mwenye asilimia 40% ya hiyo fedha Ufaransa inachukua kama kodi ktk AM!
Haya hapo chini ndiyo makubaliano yaliyosainiwa na nchi za Afrika Magharaibi na Ufaransa kabla ya kukabithiwa Uhuru!
1. Colonial Debt for the benefits of France colonization
The newly "independent" countries should pay for the infrastructure built by France in the country during colonization.
2. Automatic confiscation of national reserves
The African countries should deposit their national monetary reserves into France Central bank.
France has been holding the national reserves of fourteen african countries since 1961: Benin, Burkina Faso, Guinea-Bissau, Ivory Coast, Mali, Niger, Senegal, Togo, Cameroon, Central African Republic, Chad, Congo-Brazzaville, Equatorial Guinea and Gabon.
3. Right of first refusal on any raw or natural resource discovered in the country
France has the first right to buy any natural resources found in the land of its ex-colonies. It's only after France would say, "I'm not interested", that the African countries are allowed to seek other partners.
4. Priority to French interests and companies in public procurement and public biding
In the award of government contracts, French companies must be considered first, and only after that these countries could look elsewhere. It doesn't matter if the african countries can obtain better value for money elsewhere.
5. Exclusive right to supply military equipment and Train the country military officers
Through a sophisticated scheme of scholarships, grants, and "Defense Agreements" attached to the Colonial Pact, the africans should send their senior military officers for training in France or French ran-training facilities.
6. Right for France to pre-deploy troops and intervene military in the country to defend its interests
Under something called "Defence Agreements" attached to the Colonial Pact, France had the legal right to intervene militarily in the African countries, and also to station troops permanently in bases and military facilities in those
countries, run entirely by the French.
7. Obligation to make French the official language of the country and the language for education
Oui, Monsieur. Vous devez parlez français, la langue de Molière!
A French language and culture dissemination organization has been created called "Francophonie" with several satellites and affiliates organizations supervised by the French Minister of Foreign Affairs.
8. Obligation to use France colonial money FCFA
That's the real milk cow for France, but it's such an evil system even denounced by the European Union, but France is not ready to move from that colonial system which puts about 500 billions dollars from Africa to its treasury.
9. Obligation to send France annual balance and reserve report.
Without the report, no money.
Anyway the secretary of the Central banks of the ex-colonies, and the secretary of the bi-annual meeting of the Ministers of Finance of the ex-colonies is carried out by France Central bank / Treasury.
10. Renonciation to enter into military alliance with any other country unless authorized by France
African countries in general are the ones with will less regional military alliances. Most of the countries have only military alliances with their ex-colonisers!
In the case France ex-colonies, France forbid them to seek other military alliance except the one
11. Obligation to ally with France in situation of war or global crisis
Ningependa sana kujua Mlm.Nyerere alisaini nini na Waingereza kabla ya kukabidhiwa Uhuru ikumbukwe ya kwamba uhuru wetu hatukuupigania bali tulipewa hivyo ni lazima kulikuwa na makubaliano ambayo waliandikiana kwa maana isije kuwa tunapiga kelelel kulaumu ufisadi kumbe Viongozi wamebanwa na hawana jinsi ni lazima wawape Wazungu Rasilimali!
Nchi hizo ni Kongo, Ivory Coast, Togo, Afrika ya Kati, Mali, Niga, Benini, Burkina Faso, Kameruni, Equatorial Guinea, Gabuni, Chadi, Guinea Bisau, na Senegali!
Hayo ni makubaliano ambayo Serikali ya Ufaransa iliafikiana na nchi hizo ya kwamba ili Ufaransa isiharibu kila kitu ilichojenga kama Shule, Vyuo Vikuu, Zahanati n.k basi ni lazima nchi ziendelee kulipa kodi!
Inasemekana ya kwamba fedha ambazo nchi ya Ufaransa inachukua kama kodi ktk kwenye nchi hizo za Kiafrika ni asilimia 40% ya Uchumi mzima wa Nchi ya Ufaransa na uchumi wa Ufaransa ni kama Dola za Kimarekani 2.5 trilioni, sasa piga hesabu mwenye asilimia 40% ya hiyo fedha Ufaransa inachukua kama kodi ktk AM!
Haya hapo chini ndiyo makubaliano yaliyosainiwa na nchi za Afrika Magharaibi na Ufaransa kabla ya kukabithiwa Uhuru!
1. Colonial Debt for the benefits of France colonization
The newly "independent" countries should pay for the infrastructure built by France in the country during colonization.
2. Automatic confiscation of national reserves
The African countries should deposit their national monetary reserves into France Central bank.
France has been holding the national reserves of fourteen african countries since 1961: Benin, Burkina Faso, Guinea-Bissau, Ivory Coast, Mali, Niger, Senegal, Togo, Cameroon, Central African Republic, Chad, Congo-Brazzaville, Equatorial Guinea and Gabon.
3. Right of first refusal on any raw or natural resource discovered in the country
France has the first right to buy any natural resources found in the land of its ex-colonies. It's only after France would say, "I'm not interested", that the African countries are allowed to seek other partners.
4. Priority to French interests and companies in public procurement and public biding
In the award of government contracts, French companies must be considered first, and only after that these countries could look elsewhere. It doesn't matter if the african countries can obtain better value for money elsewhere.
5. Exclusive right to supply military equipment and Train the country military officers
Through a sophisticated scheme of scholarships, grants, and "Defense Agreements" attached to the Colonial Pact, the africans should send their senior military officers for training in France or French ran-training facilities.
6. Right for France to pre-deploy troops and intervene military in the country to defend its interests
Under something called "Defence Agreements" attached to the Colonial Pact, France had the legal right to intervene militarily in the African countries, and also to station troops permanently in bases and military facilities in those
countries, run entirely by the French.
7. Obligation to make French the official language of the country and the language for education
Oui, Monsieur. Vous devez parlez français, la langue de Molière!
A French language and culture dissemination organization has been created called "Francophonie" with several satellites and affiliates organizations supervised by the French Minister of Foreign Affairs.
8. Obligation to use France colonial money FCFA
That's the real milk cow for France, but it's such an evil system even denounced by the European Union, but France is not ready to move from that colonial system which puts about 500 billions dollars from Africa to its treasury.
9. Obligation to send France annual balance and reserve report.
Without the report, no money.
Anyway the secretary of the Central banks of the ex-colonies, and the secretary of the bi-annual meeting of the Ministers of Finance of the ex-colonies is carried out by France Central bank / Treasury.
10. Renonciation to enter into military alliance with any other country unless authorized by France
African countries in general are the ones with will less regional military alliances. Most of the countries have only military alliances with their ex-colonisers!
In the case France ex-colonies, France forbid them to seek other military alliance except the one
11. Obligation to ally with France in situation of war or global crisis
Ningependa sana kujua Mlm.Nyerere alisaini nini na Waingereza kabla ya kukabidhiwa Uhuru ikumbukwe ya kwamba uhuru wetu hatukuupigania bali tulipewa hivyo ni lazima kulikuwa na makubaliano ambayo waliandikiana kwa maana isije kuwa tunapiga kelelel kulaumu ufisadi kumbe Viongozi wamebanwa na hawana jinsi ni lazima wawape Wazungu Rasilimali!