Ndugu kafulila, mimi nitakuombea msamaha kwa Chadema. Ila ukirudi tena Chadema koma kabisa na hizo bla bla zako.Vinginevyo nenda chama cha magamba ili uzomewe na wapiga kura wako.
Kuna thread ya kumwombea msamaha twendeni tuchangie huko labda viongozi wa CDM watasikia kilio chetu.Hiyo ni ajari ya kisiasa bwana kafurila isikunyime usingizi.Sasa jipange kurudi nyumbani kwenu CHADEMA Maana NCCR ulikuwa kama uko uhamishoni.Na upande wa chadema nawaombeni mmpokee kafulila atakuwa ameshajirekebisha.KAFULILA NI JEMBE.The past is over.
Ndugu kafulila, mimi nitakuombea msamaha kwa Chadema. Ila ukirudi tena Chadema koma kabisa na hizo bla bla zako.Vinginevyo nenda chama cha magamba ili uzomewe na wapiga kura wako.
Wewe VX la mbunge + Posho + Ujiko kijijini +.....!!!!Kwanini anaomba msamaha hakuamini alichokuwa anakifanya??
He must be zero upstairs?? unawezeshaje kuomba msamaha kwa jambo ambalo unaamini ni sawa??