NCCR yameiva: Kafulila kuvuliwa uanachama Jumamosi!

Congratn kaka nimeukubal mchango wako umetish bro na nikwel Mbatia hawez kutekeleza hazma yake aliyo 2mwa na ccm kwa kumwondoa Kafulila kwan chama co kimoja 2 na ndo maana Mungu ali introduce peoples power hivyo bac hawez ku2fany wa2 mil 40 niwapumbav Tz ya sasa cio ile ya miaka ile ya 60
 
haya yalianzia chadema yetu!!!na ndio maana hawa viongozi wa ajbu ajabu kama wakina mbowe ni lazima watoke kwa ustawi wa upinzani

mm nina mashaka na uanachama wak ww half inaonekan ww ndo wale wale wna ccm (mamluki wa ccm). Haina haj ya kudefine ubongo wako
 

Achana nay huy ni mamluki wa ccm ame2mwa haina haja ya kum define
 


Mimi Naona Kafulila anamatatizo na kama leo yeye anapata matatizo ya aina ileile kama CDM basi ni lazima kumuangalia kwa makini kwani sio kitu cha kawaida,Zitto alisema katibu alikosea tukaamini hivyo,je na NCCR wamekosea? Kijana anawalakini expectations zake zinamsumbua kila jambo linawakati,tutumie kanuni ya Inzi ukijua ya huku nyuma mimi najua ya mbele Kafulila ni tatizo na sijui atakuwa mgeni wa nani.

 

Kimsingi,nakubaliana na hoja kuwa Mbatia ana matatizo,lakini kwa hakika Kafulila ana matatizo zaidi.....na anaonekana ana tatizo la kupenda madaraka,na ndicho kilichomtoa CDM,maana huku CDM alikuwa anataka kulazimisha kumuweka Zitto kwenye madaraka...nadhani anapaswa kubadilika,namkubali sana kwa hoja makini na zenye mshiko,ila sikubaliani na matendo yake anayoyafanya,na yatamuathiri kisiasa...............
 
Migongano ya mawazo ni ya kawaida ktk kikundi chochote iwe ktk chama, makanisani, misikitini na serikalini, cha muhimu ni viongozi wa hayo makundi kukubali kupokea changamoto hata kama za moto, maana utanyang'anya kadi huyu kesho anajitokeza mwingine! Basi utamaliza wote na mwishowe utabaki na wanafiki ndani ya chama. Mbatia kubali yaishe uwe mshauri.
 
Mbona unakuwa mkali? Au unajihami, hauko tayari kuulizwa swali hilo hilo kuhusu katibu wako siyo.
Anyways, mchungaji hula madhabahuni aisee. Pengine halipwi 7m, lakini kwa vyovyote Mbatia atakuwa anakula kupitia siasa meen!!
wewe unataka kuleta mada nyingine 7M ni kitu gani?
 

Hivi kwanini mtu akitaka kutumia haki yake ya kidemokrasia kama mwanachama mnapenda kusema analazimisha
?kwani kosa la kafulila cdm lilikua ni nini zaidi tu ya kutofautiana mawazo na wasiopenda mabadiliko?kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida kabisa katika ustawi wa demokrasia,kafulila kumuunga mkono zitto kugombea nafasi iliyotangazwa na chama chake hakua na kosa lolote,kungekua na makosa kwa zitto kutangaza nia ya kumkabili mbowe basi angeanza kufukuzwa zitto kwa kukosa adabu na kjaribu kumpima ubavu mboe,lazima muelewe haiwekani watu wooooote mkawa na mawazo sawa,na hili ndio tatizo la vyama vyetu hapa bongo,watu wanapenda kulazimisha woooote muwe na mawazo sawa,hakuna kitu kama hicho,tujifunze kukubali kutokubaliana ili tusonge mbele,kafulila was right by then,he is right now hapo nccr,Hamad Rashid nae na moto wake aliouwasha kule cuf pia yuko right,hawa viongozi wa vyama walio madarakani hata kama tunawapenda kiasi gani kukidhi matakwa ya demokrasia lazima wawe tested,hawawezi kukaa milele kwenye hizo chances
 
Yes Kafulila was right even HR is right but they should follow proper path.
 
Yes Kafulila was right even HR is right but they should follow proper path.

Hawa viongozi wasioweza kufuata katiba za vyama vyao wanaweza kufuata katiba ya Nchi in case???

Wana haraka sana hasa hawa watu
 
Tatizo kubwa la siasa za Tanzania jamani ni UNAFIKI hakuna jingine..Kila mmoja wao ni opportunist na kama kuna mtu anataka kumwondoa madarakani ama kuchukua nafasi yake hapo ndipo utaona mauzauza..Cheo ni dhamana jamani, Kafulila alkifulia alipoondoka Chadema akidhania kwingine kuna nafuu. hali ni hiyo hiyo iwe CCM, CUF, Chadema, TLP yaani matukio yote yalokwisha tokea hamjajifunza bado..

Tatizo kubwa na haya yotye ni mfumo wa vyama yaani wenye wadhifa ndani ya chama ndio hao wanaoongoza hata katika majukumu ya kitaifa. Mbunge ndioye waziri na mwenyekiti wa chama ndiye RAIS wa chama na anakingwa na katiba kama ya CCM...Hatuwezi kujenga chama kwa njia hiyo hata kidogo..Hivi tazameni vyama vya siasa nchi za wengine huko tulikoiga wanafanya nini na wana mamlaka gani kisha ni kwa muda gani..

Na kikubwa zaidi huwezi kumfukuza mtu hivi hivi tu kwa sababu ya kutoelewana yaani mnawafanya hawa viongozi wetu ni Miungu watu kisha mnategemea ati wataweza kuwa tofauti..Kafulila ndugu yangu umesha fulia kuondoka kwako Chadema hakukuwa namaana kabisa japokuwa ulikuwa na sababu lakini kuondoka sio solution maana kote utakakokwenda utakutana na hayo hayo, mfumo wa vyama vyetu vya siasa ni Utawala mwingine hata kama ungekuwa wewe mwenyekiti usingefanya tofauti na hawa waliopo.
 
Kafulila,jamii imewashawachoka watu wa aina yako,umaarufu unaoutafuta utakucost daima maishani. Huwezi kuwafanya watu kuwa mafala wako,wewe ndo unabaki kuwa ****, Dr.Slaa alikutimua CDM, Leo NCCR tena WANATAKA WAKUTIMUE, UNATAKA KUTUSHAWISHI KUWA WEWE unaonewa kila wakati na kila mahali?acha uzushi kafulila...nasisitiza kuwa nccr wamechelewa kukushugurikia, uekufa kisiasa kafulila,kwaheriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,kafulie kama lilivyo jina lako
 
Hilo la kuwavua viongozi uanachama kwa sababu eti wanauliza utendaji wa mwenyekiti ambao ni mbovu ni ushetani.
Badala ya kuwafukuza uanachama wanaohoji mustakabadhi wa maendeleo ya chama kisiasa,
angejichunguza kama wanahoja au la, kisha awajibu au ajirekebishe.
Hiyo ndiyo demokrasia.
Huyo Mbatia naona anataka chama kisiwe imara, ili aendelea kugida toka CCM kuleta upinzani dhidi ya vyama vingine vya siasa kama alivyofanya Kawe.
 
vijana jipangeni jimbo hilo hapo, nanyi mkawe wasanii hivyo hivyo km wakina kafulila.ila mi hawa watu mtu angenipa urais NINGEUA hadharani wanacheza na akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…