Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 9,067
- 15,818
Acha upotoshaji. Hakuna mtu anaweza kuzimiwa umeme peke yake. Taarifa za sensa ni lengo la kupanga mipango ya serikali na siyo kuhujuku wananchiMkuu. Census sio tu kuhesabu watu tujue wapo wangapi. Pia ku rekodi takwimu zao ndo maanua uliulizwa hadi una kuku wangapi pia sababu za usalama.
Kwa taarifa yako sasa pale makao makuu wanaweza wakaamua wazima umeme nyumba yako peke yake. Yani kama ulifanya Census na taarifa ukatoa jua umeingia cha kike. Sasaivi watu wanaweza kukujua nje ndani kama FBI