Kwa wale wenzangu, naona David Gregory ndio ana kabidhiwa torch rasmi kuendeleza libeneke la "If it's sunday, it's meet the press." Bado nam-miss sana Russert (rip)...ingawa Tom Brokaw kajitahidi sana!!
Mods kazi kwenu, hii ni thread ya kwanza mie kuanzisha...hivyo sina "mashule" ya taratibu zake....happy sunday everybody
[media]http://news.yahoo.com/s/ap/20081207/ap_en_tv/tv_nbc_gregory[/media]
Msee,
Asante sana...Nakubaliana na wewe kwa kiasi flani na hizo opinions zako! Mie ni shabiki wa David Gregory, na kama ulivyosema hapo juu alicheza Pele kinoma enzi zake akiwa WH NBC's Cheif correspondent...jamaa ana potential hasa ukiangalia umri wake na yale alo-accomplish so far, kama yule dogo (aloajiliwa na Russert kuripoti toka Middle East, na maanisha Richard Engel) wana mafanikio sana.
Ingekuwa amri yangu ningetaka chaguo liwe Chuck Todd ( nae pia alipewa kazi na marehemu Russert), ingawa sina uhakika na uwezo wake ktk ku-interview watu...lakini jamaa anaijua politics ya U.S...
Tumwombe mafanikio David Gregory......
Go Pats!!
....i hope utamwangalia next sunday kwa debut yake, nitapenda kusikia maoni yako baada ya hiyo show ya kwanza!
wk njema!