Mc Kihiga
Member
- Mar 17, 2011
- 36
- 4
- Thread starter
- #21
Pole sana kaka yangu, nimeshangazwa sana na taarifa yako kwa sababu tatizo hilo limewahi tokea kwa mama pale Muhimbili ATM ya NBC na ilitoa pungufu ya 80,000 na bahati mbaya ilikuwa wkend na hawakumrudishia pesa yake hata baada ya kuzidai, nafikiri kuna kaujanja wanafanza kwa sababu wanatime muda ambao sio wakazi na lazima wako wengi wameisha umizwa. THANKS
Shukrani nilikuwa na hitaji kupata victim kama mimi ili nipate nguvu na sehemu ya kuanzia tafadhari naomba nipigie simu ili niweze kufikisha swala hili kwenye uongozi wa juu NBC kabla ya vyombo vya habari.
0787440809
Mc!