Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 13,324
- 37,741
Simba imeanza vizuri msimu waa Ligi Kuu Tanzania Bara Msimu wa 2026/2027 kwa kuifunga Kagera Sugar Magoli 2-0, leo Agosti 16, 2026.
Baada ya mechi za maandalizi na bonanza, sasa Ligi yenyewe inaanza rasmi leo, kwa Kagera Sugar FC na Simba SC zikianza kampeni zao za msimu wa 2026/27.
📅 Leo, 16 Agosti 2026
🏟️ Uwanja: Kaitaba Stadium, Kagera
🏠 Mwenyeji: Kagera Sugar FC
🆚 Mgeni: Simba SC
⏰ Muda: Saa 10:00 jioni
🔥 Mchezo wa kwanza wa ligi kwa kila timu — nani ataondoka na pointi tatu?
Simba akifungwa mnipige ban la mwaka
Kikosi cha Kagera Sugar FC
Kikosi cha Simba SC kinachoanza leo, Mwamba wa Lusaka CHAMA amempisha Morice kwenye kikosi kinachoanza;
Mechi imeanza, tuone leo mambo yatakwenda vipi?
2' Kagera wanapata Kona
6' Simba wamepiga Kona 2
30' Milango ya timu zote haijafunguka huku kila timu ikigonga hodi
45' Simba wanapata Kona
45+1' Goooal - Toure (Kichwa-Assit ya Libasse)
MAPUMZIKO | Kipindi cha kwanza kimekamilika baada ya dakika 4 kuongezwa
56' Duchu - Kadi Nyekundu
Baada ya mechi za maandalizi na bonanza, sasa Ligi yenyewe inaanza rasmi leo, kwa Kagera Sugar FC na Simba SC zikianza kampeni zao za msimu wa 2026/27.
📅 Leo, 16 Agosti 2026
🏟️ Uwanja: Kaitaba Stadium, Kagera
🏠 Mwenyeji: Kagera Sugar FC
🆚 Mgeni: Simba SC
⏰ Muda: Saa 10:00 jioni
🔥 Mchezo wa kwanza wa ligi kwa kila timu — nani ataondoka na pointi tatu?
Simba akifungwa mnipige ban la mwaka
Kikosi cha Kagera Sugar FC
Kikosi cha Simba SC kinachoanza leo, Mwamba wa Lusaka CHAMA amempisha Morice kwenye kikosi kinachoanza;
2' Kagera wanapata Kona
6' Simba wamepiga Kona 2
30' Milango ya timu zote haijafunguka huku kila timu ikigonga hodi
45' Simba wanapata Kona
45+1' Goooal - Toure (Kichwa-Assit ya Libasse)
MAPUMZIKO | Kipindi cha kwanza kimekamilika baada ya dakika 4 kuongezwa
56' Duchu - Kadi Nyekundu