queen monroe
Member
- Jan 7, 2014
- 86
- 35
Natafuta mke wa pili naona unafaa, tena napenda alietoka kwenye matatizo kama wewe
Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
pole mkuu ila usikate tamaa maana maisha bado yapo kama sio hapo basi jua kunasehemu nyingine nzuri utapata we mwombe Mungu maana hakuna ashindwalo.Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.pole mkuu ila usikikate tamaa
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
Kuna mkuu alishasemaga NBC imeshafilisika Ni Bom tu linalosubiri kulipuka Naona ni kweli kwahiyo Msishangae sio ninyi tu mnapumulia Mashine Hata Bank yenyewe inapumulia MashineUnapenda aliyetoka kwenye matatizo ili uoe matatizo na upate matatizo square
Natafuta mke wa pili naona unafaa, tena napenda alietoka kwenye matatizo kama wewe
matatizo gani?sina njaa ww...na mpz ninaye kajaa lete...nipishe huko
matatizo gani?sina njaa ww...na mpz ninaye kajaa lete...nipishe huko
matatizo gani?sina njaa ww...na mpz ninaye kajaa lete...nipishe huko
Kwani ww sio competent? Mbona unaogopa ivyo...
Km uliingia ki magumash basi jiandae kutoka
siku hizi si mnahongwa, sasa kazi ya nini?Loh! Jamani nyie, wenzenu hapa NBC bank head office tunapumulia oxygen. Wanataka kupunguza kazi wafanyakazi kibaao, kigezo bank inaingia hasara.
Mbona majanga jamani.
Kama kuna anayetaka hata niwe muhudumu kwake nipo tayari. Tunasubiri bomu lilipuke tu.
Na ajira zilivyo ngumu, acheni tu.
Vipi binti, au wewe ndiye yule mwenye tabia mbaya sana wa customer care uliyenifokea juzi? Kama ni wewe, Mungu yuko karibu kujibu maombi yangu.hakuna kitu cha magumash...nina post graduate yangu..cjui hata mtu hapa...niliomba kazi na nikaitwa kwa interview..ila mwaka jana walipunguza watu department flani...ambao wana kila kitu kwa kweli..ndio maana uoga unaingia...na bora wangepunguza kwa stail ya kuwafanyia interview upya...but nasikia wanakuja na majina yao tayar mknoni...kama haumo subiri barua yako..