tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,863
- 3,854
Ninapenda kuchukua nafasi hii kuutaarifu umma kuwa usalama wa Pesa za watanzania katika benki ya NBC si wa uhakika.
Kuna wizi wa ndani kwa ndani unafanyika katika account za wateja. Nipende kuwaomba wateja wote wa benki hii wafike katika matawi ya NBC ili waangalie Bank statement zao.
Pia niwaombe Usalama wa Taifa, Benki Kuu ya Tanzania, Wizara ya Fedha, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali, Polisi na Mamlaka zote zinazohusika, watume timu zao kwa ajili ya kuichunguza Benki hii Kongwe nchini.
Mambo yakiachwa yaendelea hivi, mamilioni ya Watanzania yatapotelea kwa mafisadi wachache.
Kuna wizi wa ndani kwa ndani unafanyika katika account za wateja. Nipende kuwaomba wateja wote wa benki hii wafike katika matawi ya NBC ili waangalie Bank statement zao.
Pia niwaombe Usalama wa Taifa, Benki Kuu ya Tanzania, Wizara ya Fedha, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali, Polisi na Mamlaka zote zinazohusika, watume timu zao kwa ajili ya kuichunguza Benki hii Kongwe nchini.
Mambo yakiachwa yaendelea hivi, mamilioni ya Watanzania yatapotelea kwa mafisadi wachache.