Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
Ngoja nikafunge account yangu, hii benki ina kimavi kila siku mabalaa/
Credibility ya aliyeleta hii mada ni questionable, huwezi toa accusation kali kama hizi bila vivid evidence bwana, be specif, what happened? Umefikia wapi conclusion hii? Acha ubabaishaji
MSent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Sio kweli. Hakuna bank hapa nchini inaulinz mkali kama NBC. Haya nimajungu tu.
Acheni jaziba hilo tatizo analolisema linaukweli sio kw NBC tu ni benk zote na huo wizi unaofanyika ni wizi wa kimtandao na uchunguzi wa awali uliofanyika hela nyingine zinaonyesha zimetolewa kupita ATM za nje yTanzania lakini kwenye account za ndani.
Anachosema mkuu hapo ni
sahii. Japo sijui kama yeye ni muathirika wa tatizo hilo au ana ukweli
wa watu wangapi wanajua hali hii. Binafsi ni muathirika wa hiki
kinachosemwa nilienda kulipa direct entry cost ya chuo (Udsm) 2009 Tshs.
74500.00 nikapewa pay in slip nikidhani wameingiza malipo hayo kwenye
acc. ya chuo nimevist 2012 chuo kufuatilia transcrip nikaambiwa fedha
hiyo nadaiwa(haipo kwenye bank statement ya chuo) kufuatilia hapo benk
nilpolipia mizungusho tena mara muhuri uliogongwa kopi ya bank slip
niliyo nayo haupo ili wafuatilie mara niandike barua kudai hiyo fedha
nitalipia laki moja kama GHARAMA ya kufuatilia. Ofcourse kuna haja ya
kufuatilia ishu hii kwa hivyo vyombo anavyovitaja mtoa mada.