Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,604
nimekuelewa vema kaka ila heat lux lyk a threat 2 cavs not just in regular season.
If you are new to this game I can understand you.
LBJ fears no one.
nimekuelewa vema kaka ila heat lux lyk a threat 2 cavs not just in regular season.
its more than meets the eye.If you are new to this game I can understand you.
LBJ fears no one.
LBJ fears no one.
A NEW RECORD IS SET:13 THREE POINTERS....
CC:Raimundo,Soso J,Nzi,King Shaat ,Mag3,BAK,Steph Curry,Alegria do povo
.....hawataki kuonyesha their defence tactics, they have clinched a playoff spot already...kama ulimsikia Coach Lue majuzi baada ya defeat dhidi ya Wizards...Cavs wajipange maana defence yao ni mbovu kupitiliza
Sababu ni moja tu..!mi nawaambia hawa Cavs hawataki kukutana na Miami Heat.. hivi vipigo c bure trust me people.
acha urongo mkuu.. you are trying so hard but your defense sucks........hawataki kuonyesha their defence tactics, they have clinched a playoff spot already...kama ulimsikia Coach Lue majuzi baada ya defeat dhidi ya Wizards...
acha urongo mkuu.. you are trying so hard but your defense sucks...
Hakuna cha kuspare the tactics mpaka Play offs wala nini..
Mwisho wao ni Western finals na hata bwana madevu anaweza kuwachapa hao SAS..Ha ha ha, mkuu playoffs zinakaribia, tunaficha siraha.
Ila SAS siwasomi kabisa mwaka huu, wanaweza kuharibu sherehe za watu.
Mwisho wao ni Western finals na hata bwana madevu anaweza kuwachapa hao SAS..
Mwaka jana walikuwa moto kuliko hivi lakini bado pamoja na home court advantage walipasuliwa na KD akiwa na dogo mchoyo Russ..
Ameshazeeka hana lolote... Ngoja tukutane nao kesho kutwa KD akiwa nje lakini tutawafunza adabu..Inawezekana mkuu, ila Babu Pop simwaminigi kabisa yule mzee, anaweza kukaza muda wowote.
Ameshazeeka hana lolote... Ngoja tukutane nao kesho kutwa KD akiwa nje lakini tutawafunza adabu..
Mkuu subiri surprise yake hapo kesho kutwa..Ha ha ha, kati ya watu hawaeleweki kwenye regular season ni yule babu, hata haya mambo ya kupumzisha wachezaji chanzo ni yeye mpaka kila kocha anaiga kwa sasa.
Ila mimi bado namwamini.
how is Westbrook selfish, he averages 10 assists per game.Mwisho wao ni Western finals na hata bwana madevu anaweza kuwachapa hao SAS..
Mwaka jana walikuwa moto kuliko hivi lakini bado pamoja na home court advantage walipasuliwa na KD akiwa na dogo mchoyo Russ..