mbunduki
Member
- Mar 14, 2013
- 97
- 94
Its just a regular season game kaka kama leo triple double ya lebron james na 49 point za kyrie zilivokua si kitu kwa pelicans ambao hata Antony Davis hakuwepoNaona sasa hivi hata majirani nao wameanza kuishiwa punzi..!!
Safi sana heat naamin kuna siku mtarudi tu.