Nazidi kukata tamaha, nifanyeje?!

takiribin mwez wa 3 sasa kuna mtu nampenda kutoka moyoni klila cku anaishia kunitext mara hi, gd9t, thinking of u, n.k na me huwa najtahd kujibu text zake kulingana na alichonitext, japo roho inaniuma 7bu nampenda, ndani ya hicho kipindi amekuja kama mara 3 kunisalimia, japo anaishia kupiga story zakawaida na kuondoka, na me n mtoto wa kike inaniwia ngumu kumapproach.............! some time anaua band mara hi my special one, hapo nashindwa kumusoma anakuwa na maana gan?? pale ninapojitahidi kusahau tex hiyo gd9t, najkta kuamua kuvumilia tena na kuwa na mahope, anahtesa sana nafsi yangu.........!

mtongoze 2 haina noma ila ucturudie hapa ku2lilia kakutapeli laptop ........
 
Vunja ukimya dada,chelewa chelewa wajuvi watamchukua ooh!
 
sema nae au unasubiri utongozewe kwa hisani ya watu wa marekani mwaga sera mapema kabla hawajakuwahi ukazidi kuchanganyikiwa
 
Ngoja livunde kama utauona ubani, ngojangoja huumiza matumbo.. Du! kaneno kenyewe kadooogo kana kusumbua miezi yote hiyo! "NAKUPENDA" khaa! ebo, kumbe kana spelling 9 tu, sa unashindwa nini kukataja!! shaurilo..
 
takiribin mwez wa 3 sasa kuna mtu nampenda kutoka moyoni klila cku anaishia kunitext mara hi, gd9t, thinking of u, n.k na me huwa najtahd kujibu text zake kulingana na alichonitext, japo roho inaniuma 7bu nampenda, ndani ya hicho kipindi amekuja kama mara 3 kunisalimia, japo anaishia kupiga story zakawaida na kuondoka, na me n mtoto wa kike inaniwia ngumu kumapproach.............! some time anaua band mara hi my special one, hapo nashindwa kumusoma anakuwa na maana gan?? pale ninapojitahidi kusahau tex hiyo gd9t, najkta kuamua kuvumilia tena na kuwa na mahope, anahtesa sana nafsi yangu.........!

This time tommorrow!!!!!!!!!!!!
 
Kila jambo na wakari wake, ikifika muda doze utapewa tu bila kuomba kua mvumilivu kidogo.
 
cjiu niimbe?...'mapenz yanautesa moyo wee,mapenz yanaumiza moyo wee' au 'i luv u i luv u i luv u i luv uuuu,u are the huzb of my dream' au 'if u were myn...' mh!hayo ndo mape..mape...mapenz mabaya!back 2 topic ask God 2 guide u n then tel hm truth n xprec ur feelings 4 hm;vunja ukimya,tel hm wajanja wacje wakakuwahi babuwe!wanaume wachache hapa duniani shost!...
 
Ngoja livunde kama utauona ubani, ngojangoja huumiza matumbo.. Du! kaneno kenyewe kadooogo kana kusumbua miezi yote hiyo! "NAKUPENDA" khaa! ebo, kumbe kana spelling 9 tu, sa unashindwa nini kukataja!! shaurilo..
nimecheka sana maneno yako hapo juu.
 
"Listen to many but decide alone" thanx guys kwa ushauri wenu, nilikaa chn accodng to ur advise nikajua jns yakufanya, leo hii kaja speed had naogopa sasa, kla baada ya dk 5 tex, thanx God de guy is serious kwan at any time t, ananishauri kusoma shule + kusali mda wote, nimesema hivyo bcoz ana off ya mungu, anajtahd kusema anapenda nn na anachukia nn, so 2po kwenye kudateana kmtndo!!!!!!!!
 
Sorry, Out of topic! Nimesoma ujumbe wa mtoa mada kwa shida kidogo kwa kuwa anatumia sijuhi niseme symbols au codes hata silelewi. Ni mazoea ya kutuma meseji kwenye simu na kusave dollar au? Angalia msijejisahau mkatuma official letters kwa kutumia same language. Tabia huzaa mazoea. Kunamtu alinitumia text imejaa herufi zilizochanganywa na namba yani sikusoma nikaifutilia mbali. Sasa kwa mfano hapa hamna word limit kwa nini unatumia symbols? Samahani kama nimekuwa mkali lakini nimeona nishare my feelings.
 
takiribin mwez wa 3 sasa kuna mtu nampenda kutoka moyoni klila cku anaishia kunitext mara hi, gd9t, thinking of u, n.k na me huwa najtahd kujibu text zake kulingana na alichonitext, japo roho inaniuma 7bu nampenda, ndani ya hicho kipindi amekuja kama mara 3 kunisalimia, japo anaishia kupiga story zakawaida na kuondoka, na me n mtoto wa kike inaniwia ngumu kumapproach.............! some time anaua band mara hi my special one, hapo nashindwa kumusoma anakuwa na maana gan?? pale ninapojitahidi kusahau tex hiyo gd9t, najkta kuamua kuvumilia tena na kuwa na mahope, anahtesa sana nafsi yangu.........!

Wapo watakaokuambia kuwa mchezo wa mapenzi unachezwa ndani ya dakika 90 tuu. Hakuna dakika za nyongeza, hakuna extra time no penalty shootout. Possibly inawezekana kulingana na madhumuni ya wachazaji. Lakini vipi kama dakika 90 zikiisha na bado ngoma no draw? Ili kutafuta mshindi utafunga goli la off side, utafunga kwa mkono au uta-dive makusudi ili upate penalti.

Take your time. Take it slowly. Kumpenda mu ndani ya miezi mitatu ni muda mfupi. Kama utakuwa umesoma threads zilizoanzishwa kwenye jukwaa hili hivi karibuni utakuwa umeona yaliyowakuta watu baada ya kupendana ndani ya muda. Nafikiri tumia huu muda kujua zaidi. Cha maana mfanye awe rafiki yako kwanza ili uweze kumfahamu zaidi. Inawezekana na yeye hataki kukuambia mapema kwa vile anataka kukufahamu zaidi kwanza. Jaribu kufanya vitu vya kawaida kwa pamoja ili umjue zaidi. Uwe unamtembelea pia kwao as friend. Siyo yeye aje akutembelee tuu. Kama akikwambia kuwa anakupenda, usimrukie na kuanza kupiga piga mabusu. Don't even tell him, you love him. Mwambie you're flattered kuwa anakupnda. Mwambie you "like" lakini ungependa kumjua zaidi. kama anaona una worth atakusubiri umjue zaidi. If not, ataingia mitini.

Inawezekana labda hana confidence ya kukuambia live. If that is the case, jaribu kutengeneza mazingira mazuri. Ikishindikana kabisa, then mwambie face to face (not through txts) that, you think you like him, lakini hauna uhakika, then sikia atasema nini. Kitu cha maana take your time, Usiharakishe. Subira yavuta heri.

Goodluck.
 
Sorry, Out of topic! Nimesoma ujumbe wa mtoa mada kwa shida kidogo kwa kuwa anatumia sijuhi niseme symbols au codes hata silelewi. Ni mazoea ya kutuma meseji kwenye simu na kusave dollar au? Angalia msijejisahau mkatuma official letters kwa kutumia same language. Tabia huzaa mazoea. Kunamtu alinitumia text imejaa herufi zilizochanganywa na namba yani sikusoma nikaifutilia mbali. Sasa kwa mfano hapa hamna word limit kwa nini unatumia symbols? Samahani kama nimekuwa mkali lakini nimeona nishare my feelings.

Nyumba Kubwa si unajua tena vijana wa kizazi kipya?
 
Back
Top Bottom