Nawezaje solve this?

Hama, hama kaka tena fasta. Ninavyojua majumba ya kiswahili hapo ndo umewasha moto watakukalia vikao na kukuundia zengwe, ni bora tafuta nyumba yenye hadhi yako na uhamie, hapo ndo kwanza watakukalia rohoni sana

Dah, Hilo nalo neno
 

pa 1, xana mkuu
 
ndugu merengo m naona sawa ulivomcharaza uyo dada na mimi nasema akija tena mpige tu na mumewe akija mpige tu mana hamna namna sasa, mdomo wake mchafu tena apigwe tu.

Tandika xana huyo na me akijileta pigaa DOGO ATAVUMILIA 2
 
yani umempiga mume mbele ya mke..hyo umenunua vita..nachokushauri hama hapo..
alafu muda mwingine uwaze kabla hujatenda unanzaje kupigana na mwanamke ngoja aende polisi utaisoma namba..

Acha aende polix ila akileta fyongo tena TANDIKA 2
 

MKUU, Hapo Unahangaika na xhule za St.Kayumba
 
Jaribu kuwa mtu makini siku nyingne unaweza kupata kesi au hata kupigwa.... Ishi na watu kwa akili sana hasa wale wakorofi... Nyumba za kupanga hasa za uswahilin zna vmbwanga sana... Ni dharau sana kumpiga mke wa mtu mbele ya mume wake ningekuwa mm ungetupiga wote
 

Nafkiri ww utakuwa mwlim... Maana umeeleza mpaka vichwa vigum tumeelewa
 
Hapo naona Mume mtu ndo amekosa hekima!!

Anafahamu mkewe ana maneno ya shombo, katoa nguo za watu, anasikia akiulizwa bado anajibu hovyo.

Badala ange intervene kumtetea mkewe anakuja kuingilia ugomvi mwishoni.

Hata ingekuwa mimi ningetandika makofi.

Ila mi ningeenda a step further, ningeng'oa na kamba kabisa halafu niende kuleta kamba yangu mpya nikute mtu kaanika nguo namtafuna.

Watu wengine wanaboa sana, unaishi nao kistaarabu wanaleta shari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…