20PROFF
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 8,217
- 7,255
Habari zenu wana MMU,
Leo ilikuwa siku ya kukwazika sana ila ahsante MUNGU now nipo oky.Nimekuja kutaka kupewa hints au solution jinsi ya kuhandle hii situation, may be nianze kwa kusema haya. Mimi ni kijana wa makamu, najitegemea pia nina jukumu la kumsapoti mdogo wangu katika kuendesha life (anasoma chuo kwa sasa), sasa nahisi leo nimeonyesha mfano mbaya kwake, na huwa najiribu kumweka katika raman ya kujifunza vitu kwangu.
Leo wakati natoka kweny majukumu yangu nikakutana na hali ya kunikwaza kidogo, ninapo ishi ni nyumba za kupanga na tunashare kamba za kuanika nguo familia mbili. Huyu mpangaj wa jirani ana mkewe mwenye maneno sana, mara kadhaa dogo amewah kuja na kunieleza anavyosumbuliwa na vijiamaneno sometimes na visa kadhaa, hili la leo limetokea kwangu na kuthibitish utumbo wa huyu mwanamke.
Nilifua nguo jana nimeamika kamba moja, kutokana na mvua za jana nguo ni nzito zingine hazikukauka, so zikalala hapo, asubuh nimetoka zikiwa zina dalili ya kuwa poa, narudi nakuta nguo zimevutwa zote sehemu moja, zingine zipo chini ingawa nimeweka vibanio.Nilicho tafakari kwa haraka ni kuwa kuna mtu kasogeza ili aanike za kwake, kuzicheki za chumba cha jirani.
Nikaend kuuliza why nguo zangu zivutwe vile na zingine ziwekwe chini halafu waanike zao? Huyu mwanamke akanipa jibu la kivuvuzela yani, wew tangu jana umeweka nguo zako na sisi tuweke zetu wapi, gwanda zako nzito pia hazikauki, khaa!kiustarab nikauliza tena thou nilikuw na temper, kwani kamba ya pili si ilikuwa wazi,? kirahis akajibu bwana wew nilikuw na nguo nyingi.
Muda huo mumewe yupo na mshikaji tu, anasikia na kuona yote, nikaon hawa they look down on me nikaend kwenye kamba ,nikakusanya nguoni zake na kuweka zangu vizuri, hasa galfa naon mwanamke anarusha maneno ya kashfa, hasira zikapanda nikacharaza makofi ,I dont hit women, bt huyu ali cross line, hasa la kushangaza naon mumewe anatoka nje anataka kupigana, nikqwa namkwepa bt akazid ku insist, nikamlamba makofi, na mateke wakalal ndani.
But honestly nimeumia sana, najiulza wanafanya hivi kwasababu wamehisi mimi mdogo wa umri so wananchukulia poa…? maan pia ninewah kuwa na girl kwa gali yake aliwahi kuniita mdogo wake ili asipigwe pesa ndefu na traffic. Sina umbo dogo,nipo musclar kidgo.Nawezaje solve this, kurudisha amani na hawa jirani zangu? then nionekane older kama age yangu ilivyo?Mdogo wangu atanionaje,anajifunza nini? Nimewaza sana haya.
Samahan kwa uhandishi mbovu, ila naomba sikia mawazo yako.
Leo ilikuwa siku ya kukwazika sana ila ahsante MUNGU now nipo oky.Nimekuja kutaka kupewa hints au solution jinsi ya kuhandle hii situation, may be nianze kwa kusema haya. Mimi ni kijana wa makamu, najitegemea pia nina jukumu la kumsapoti mdogo wangu katika kuendesha life (anasoma chuo kwa sasa), sasa nahisi leo nimeonyesha mfano mbaya kwake, na huwa najiribu kumweka katika raman ya kujifunza vitu kwangu.
Leo wakati natoka kweny majukumu yangu nikakutana na hali ya kunikwaza kidogo, ninapo ishi ni nyumba za kupanga na tunashare kamba za kuanika nguo familia mbili. Huyu mpangaj wa jirani ana mkewe mwenye maneno sana, mara kadhaa dogo amewah kuja na kunieleza anavyosumbuliwa na vijiamaneno sometimes na visa kadhaa, hili la leo limetokea kwangu na kuthibitish utumbo wa huyu mwanamke.
Nilifua nguo jana nimeamika kamba moja, kutokana na mvua za jana nguo ni nzito zingine hazikukauka, so zikalala hapo, asubuh nimetoka zikiwa zina dalili ya kuwa poa, narudi nakuta nguo zimevutwa zote sehemu moja, zingine zipo chini ingawa nimeweka vibanio.Nilicho tafakari kwa haraka ni kuwa kuna mtu kasogeza ili aanike za kwake, kuzicheki za chumba cha jirani.
Nikaend kuuliza why nguo zangu zivutwe vile na zingine ziwekwe chini halafu waanike zao? Huyu mwanamke akanipa jibu la kivuvuzela yani, wew tangu jana umeweka nguo zako na sisi tuweke zetu wapi, gwanda zako nzito pia hazikauki, khaa!kiustarab nikauliza tena thou nilikuw na temper, kwani kamba ya pili si ilikuwa wazi,? kirahis akajibu bwana wew nilikuw na nguo nyingi.
Muda huo mumewe yupo na mshikaji tu, anasikia na kuona yote, nikaon hawa they look down on me nikaend kwenye kamba ,nikakusanya nguoni zake na kuweka zangu vizuri, hasa galfa naon mwanamke anarusha maneno ya kashfa, hasira zikapanda nikacharaza makofi ,I dont hit women, bt huyu ali cross line, hasa la kushangaza naon mumewe anatoka nje anataka kupigana, nikqwa namkwepa bt akazid ku insist, nikamlamba makofi, na mateke wakalal ndani.
But honestly nimeumia sana, najiulza wanafanya hivi kwasababu wamehisi mimi mdogo wa umri so wananchukulia poa…? maan pia ninewah kuwa na girl kwa gali yake aliwahi kuniita mdogo wake ili asipigwe pesa ndefu na traffic. Sina umbo dogo,nipo musclar kidgo.Nawezaje solve this, kurudisha amani na hawa jirani zangu? then nionekane older kama age yangu ilivyo?Mdogo wangu atanionaje,anajifunza nini? Nimewaza sana haya.
Samahan kwa uhandishi mbovu, ila naomba sikia mawazo yako.