Yeye inaonesha ana itaka JF kwa manufaa ya kisiasa zaidi,...
hiyo inatupa mtazamo kwamba ndo mwendelezo wa Mukama kutaka "waidhibiti" JF,..
Angekua yupo kibiashara zaidi,toka 2007 yeye ni mwana JF anawajua moderators humu ange waPM,or kama hawajui basi kuna jukwaa la uchumi na biashara,...
duh,umenoa mkuu