chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Heshima kwenu wakuu, kuna taarifa kwanza kampuni ya mawasiliano ya Tigo Tanzania imeingia mkataba na Jamii Forums ili kuwawezesha watumiaji kuingia Jf bila makato ya ada kwa mteja wa Tigo.
Naomba kufahamishwa namna ya kuingia Jf bila data.
Nashukuru.
Naomba kufahamishwa namna ya kuingia Jf bila data.
Nashukuru.