Niliagiza mzgo wangu wa simu kwa kutumia FedEx kwa matumizi yangu. Nimejarbu kuwapelekea invoice kwa sababu unahitajika kufanyiwa clearance ila inaonekana gharama ni kubwa Sanaa mara pesa ya clearance agent km kilo na nusu na bado wanahitaji tin number , bado custom na tax ili mzgo utoke
So mwenye uzoefu ushauri wenu
Na ni kampuni gani ambayo naweza kutumia kuagiza kutoka mataifa ya ulaya na USA wanafanya kabsa clearance na hakuna usumbufu km huu ulojitokeza?
Mkuu kwa uzoefu wako wa miaka mingi katika haya mambo ya kununua bidhaa nje ni njia ipi rahisi ya kununua kitu nje kama vile laptop au simu ambayo inawezesha kukwepa haya magharama?
Sikia hili swala langu, Miwani ya macho ambayo kiuhalisia haitakiwi kulipiwa Tozo, sababu ni sehemu ya kifaa tiba, Ila nililazimika kulipia TZS 81,661.89 kama tozo
Sikia hili swala langu, Miwani ya macho ambayo kiuhalisia haitakiwi kulipiwa Tozo, sababu ni sehemu ya kifaa tiba, Ila nililazimika kulipia TZS 81,661.89 kama tozo View attachment 1888422
Sijashangazwa na tozo, matter of fact inabidi wakate tozo ndo kazi yao.
Nimeshangaa mtu kuagiza simu moja tu nje kwa fedex.
Kuna kasumba kwamba simu nje ni nafuu au original nk. Haya yanaweza kuwa kweli kama unanunua in bulk ila kama ni simu moja tu ya matumizi binafsi you're better off kununua nchini au kuagiza mtu aje nayo kama unafahamiana na mtu nje.