Kuna ishu inanisumbua hapa,mwanangu anapata shida ya kunya , akitoa choo kinatoka kigumu sana kinamuumiza analia na wakati mwingine kinatoka na damu, pia anakula ila anaweza kupata choo baada ya siku sita na ni kigumu anapiga kelele sana.
Kuna dawa gani inaweza kumsaidia au naweza kufanyaje akawa anapata choo ya kawaida bila kuumia na maji anakunywa pia lakini choo bado ni ngumu na inamuumiza sana.
Naomba msaada wa kitabibu tafadhali.
Kuna dawa gani inaweza kumsaidia au naweza kufanyaje akawa anapata choo ya kawaida bila kuumia na maji anakunywa pia lakini choo bado ni ngumu na inamuumiza sana.
Naomba msaada wa kitabibu tafadhali.