Nawezaje kusoma, kurun na ku compile code ambayo nimedownload

renamaizo

JF-Expert Member
Oct 17, 2014
2,118
3,004
Habari wana jamii Forum

Mimi bado najifunza coding sijaiva sana wala sio mtupu nimejifunza vitu vingi sana katika coding na nashukuru mungu mambo yanaenda vizuri sasa katika kujifunza nikaona itakuwa vyema km nikianza kudownload code za watu na kuzipitia ili niwe na ufahamu mpana zaidi maana sioni km kuna sababu mtu kuandika code zote mwenyewe unaweza kusoma kazi za watu na kucopy baadhi ya vitu kisha wewe unaoendeleza

Sasa katika kudownload code za watu nimekuta source code zina folders

1635399832529.png


1635399869428.png


Sasa apa nikawa nimebaki naduwaa je main code ipo wapi ? Apa namaanisha code kuu ambayo nikiirun nitapata output ya whole Project maana nikiexplore humo ndani code ni nyingi mno

Hata nilipojaribu kurun baadhi nilipata errors tu najua wengi mnajua huko Github code zipo kibao tu cha msingi ni kujua kuzisoma na kuzirun ili kuongeza maarifa

1635399904036.png

1635399935753.png

1635399954786.png
 
Habari wana jamii Forum

Mimi bado najifunza coding sijaiva sana wala sio mtupu nimejifunza vitu vingi sana katika coding na nashukuru mungu mambo yanaenda vizuri sasa katika kujifunza nikaona itakuwa vyema km nikianza kudownload code za watu na kuzipitia ili niwe na ufahamu mpana zaidi maana sioni km kuna sababu mtu kuandika code zote mwenyewe unaweza kusoma kazi za watu na kucopy baadhi ya vitu kisha wewe unaoendeleza

Sasa katika kudownload code za watu nimekuta source code zina folders

View attachment 1989305

View attachment 1989306

Sasa apa nikawa nimebaki naduwaa je main code ipo wapi ? Apa namaanisha code kuu ambayo nikiirun nitapata output ya whole Project maana nikiexplore humo ndani code ni nyingi mno

Hata nilipojaribu kurun baadhi nilipata errors tu najua wengi mnajua huko Github code zipo kibao tu cha msingi ni kujua kuzisoma na kuzirun ili kuongeza maarifa

View attachment 1989307
View attachment 1989308
View attachment 1989309
Huwezi rekwbisha tatizo ikiwa hujui chanzo ni nini.

Hata baada ya kujua chanzo inakipaaa ujue kuwa je njia hiyo hainaadhara au haitaleta usumbufu sehemu nyingine?


Kifupi ni kwamba madhara ya kusoma programming bila uelekeo maalum ni tatizo kubwa sana linalosumbua watu wengi


Mtu anaweza anza na ayntax za programming wakati akiaha hiai kuwa ameelezwa anaanza kurukia macode ya watu bila kujua yanaweza kumsaidia vipi kibaya zaidi wengi hata documentation au hata short description ya kufanya installation hawaisomi wanadhani ni mapambo bro una safari ndefu.


Soma maelekezo ya code unazotumia
 
Huwezi rekwbisha tatizo ikiwa hujui chanzo ni nini.

Hata baada ya kujua chanzo inakipaaa ujue kuwa je njia hiyo hainaadhara au haitaleta usumbufu sehemu nyingine?


Kifupi ni kwamba madhara ya kusoma programming bila uelekeo maalum ni tatizo kubwa sana linalosumbua watu wengi


Mtu anaweza anza na ayntax za programming wakati akiaha hiai kuwa ameelezwa anaanza kurukia macode ya watu bila kujua yanaweza kumsaidia vipi kibaya zaidi wengi hata documentation au hata short description ya kufanya installation hawaisomi wanadhani ni mapambo bro una safari ndefu.


Soma maelekezo ya code unazotumia
Ni kweli kabisa bro unachokisema inabid twende hatua kwa hatua lakini pia tambua kuna baadh ya situation ina kulazimu tu udandie mbele vengine vitakuja vyenyewe

nikifungua izo folder umo kuna picha code kibao mafile ni mengi mno na ndio maana kuna uzi huko nimefungua kuuliza kama kuna ulazima kwa developer kujua kila component na kazi zake

BRO MM SALI LANGU NI MOJA TU MAIN CODE IPO WAPI INAWEZA KUWA WAPI KATIKA IO PROGRAM
 
Habari wana jamii Forum

Mimi bado najifunza coding sijaiva sana wala sio mtupu nimejifunza vitu vingi sana katika coding na nashukuru mungu mambo yanaenda vizuri sasa katika kujifunza nikaona itakuwa vyema km nikianza kudownload code za watu na kuzipitia ili niwe na ufahamu mpana zaidi maana sioni km kuna sababu mtu kuandika code zote mwenyewe unaweza kusoma kazi za watu na kucopy baadhi ya vitu kisha wewe unaoendeleza

Sasa katika kudownload code za watu nimekuta source code zina folders

View attachment 1989305

View attachment 1989306

Sasa apa nikawa nimebaki naduwaa je main code ipo wapi ? Apa namaanisha code kuu ambayo nikiirun nitapata output ya whole Project maana nikiexplore humo ndani code ni nyingi mno

Hata nilipojaribu kurun baadhi nilipata errors tu najua wengi mnajua huko Github code zipo kibao tu cha msingi ni kujua kuzisoma na kuzirun ili kuongeza maarifa

View attachment 1989307
View attachment 1989308
View attachment 1989309
Huko ulidownload iyo program Hakuna documentation inayoelezea jinsi ya kui run?
 
Soma documentation yake
Ni kweli kabisa bro unachokisema inabid twende hatua kwa hatua lakini pia tambua kuna baadh ya situation ina kulazimu tu udandie mbele vengine vitakuja vyenyewe

nikifungua izo folder umo kuna picha code kibao mafile ni mengi mno na ndio maana kuna uzi huko nimefungua kuuliza kama kuna ulazima kwa developer kujua kila component na kazi zake

BRO MM SALI LANGU NI MOJA TU MAIN CODE IPO WAPI INAWEZA KUWA WAPI KATIKA IO PROGRAM
 
Aisee usirukie treni kwa mbele, iko siku utadownload ransomware itakayo hodl files zako hostage mpaka uwatumie bitcoins....hizo codes ni za project gani unaweza ukashare URL ya hiyo git repository ? Labda wengine wanaweza kuipitia huko na kukusaidia
images (4) (1).jpeg
 
mbona kama VB.net iyo ?

ku compile vb inabidi uwe na IDE yake,chukua ya 2010 from here


kupata main code, rudi step moja nyuma kwenye ilo folder, tafuta .SLN file, fungua kwa iyo IDE uliyoishusha, SLN file ina link izo individual VB/resx files zote pamoja kwa mfumo wa tabs

by default, file/tab kuu ni lile lenye Form1_Load()

angalia kama kuna libs/headers ya kuinstall kwa drag/drop

untaweza ku run/compile au ku build EXE debug/release windows app
 
Huwezi rekwbisha tatizo ikiwa hujui chanzo ni nini.

Hata baada ya kujua chanzo inakipaaa ujue kuwa je njia hiyo hainaadhara au haitaleta usumbufu sehemu nyingine?


Kifupi ni kwamba madhara ya kusoma programming bila uelekeo maalum ni tatizo kubwa sana linalosumbua watu wengi


Mtu anaweza anza na ayntax za programming wakati akiaha hiai kuwa ameelezwa anaanza kurukia macode ya watu bila kujua yanaweza kumsaidia vipi kibaya zaidi wengi hata documentation au hata short description ya kufanya installation hawaisomi wanadhani ni mapambo bro una safari ndefu.


Soma maelekezo ya code unazotumia
Umeandika maelezo mengi halafu hayana msaada kwa mshikaji.

Halafu umekosea kosea sana.
 
Source code za project nyingi ni kweli zipo mtandaoni na kama unavyojua hakuna haja ya kufanya kitu ambacho tayari kipo badala yake ni vyema kutumia open source maana inarahisisha maisha. Lakini kabla ya kutumia open source nazani kuna vitu vya kuzingatia ambavyo ni

1. Kusoma documentation ya project husika
Wabongo wengi tu wavivu wa kusoma, utakuta mtu una download source bila ya kusoma unaanza tuu kuzirun alafu unataka kutumia uzoefu kufanya mambo yaende ki ukweli inakuwa kazi ngumu maana hujui ile general structure ya project ili kujua njinsi vitu vilivyo na pale unapohitaji ku edit jambo fulani basi uende wapi ili kusudi kupata jambo husika.

2. Kuwa familiar na Structure of coding iliyotumika ku code hiyo project husika.
Wao huwa wakisema "There is no right way on how to code, but there is recommendation on how to code" ni kweli hakuna njia sahihi ya kucode ila ili kuendana na sofoware engineering huwa kuna recommended structure to follow ili kurahisha kazi ili hata pale unapoacha project basi anapokuja mtu mwingine aweze kuiendeleza. Sasa kama haupo familiar na structure iliyoutumika basi utapata tabu kuisoma na kuimodify project.
Mfano kwenye building of native android application google kuna structure anayoipendekeza inayoitwa Modern Android Development(MAD) ambapo wao hupendekeza kutuma MVVM sasa kama wewe ulikuwa ukidevolop app lakini hufuati hizi structure kwenda ku modify project inayotumia hivi vitu itakupa kaugumu kidogo.
 
Mbali na makosa ya kiuandishi nadhani amenielewa na ni msaada mkubwa mno kwake na vizazi vijavyo ukiwemo wewe

Nb wote wanaomsaidia wameandika kama nilivyoandika ukiondoa hayo makosa yangu wanarudi pale pale kwenye documentation

Ulitaka tuanze kuinspect mafile tusiyoyajua huku ni kupoteza muda
Umeandika maelezo mengi halafu hayana msaada kwa mshikaji.

Halafu umekosea kosea sana.
 
Nimeshindwa kuona hizo screenshots
Unatumia Language gani, Framework gani, na IDE gani?

Kama ume chukua open source program, namna pekee ya kuielewa ni kusoma README file ambalo linakua ndani ya Parent directory

Kama hakuna documentation ya namna yoyote achana nayo

Pia check version ya Language au dependencies ziliyotumika kama zipo compatible na your current working environment
 
Nimeshindwa kuona hizo screenshots
Unatumia Language gani, Framework gani, na IDE gani?

Kama ume chukua open source program, namna pekee ya kuielewa ni kusoma README file ambalo linakua ndani ya Parent directory

Kama hakuna documentation ya namna yoyote achana nayo

Pia check version ya Language au dependencies ziliyotumika kama zipo compatible na your current working environment
Vb.net

Visual studio

Net framework 4.7.2
 
Back
Top Bottom