Kama hukuomba course yoyote katika hicho chuo na bado kikakuchagua, malalamiko yako yapeleke TCU, ndio wenye uwezo kukutoa kwenye mfumo ili uweze kuomba upya chuo unachotaka.
Uki-apply vyuo zaidi za kimoja mfano vyuo vitano (5) na ukachaguliwa kwenye chuo kimoja tu (vinne vyote vikakutema) haihitaji ku-confirm hapo automatically unakuwa umechaguliwa kujiunga na hicho chuo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.