school boy
Member
- Aug 19, 2014
- 42
- 10
Nimemaliza kujaza second round application lakini nikitaka niprint for reference inagoma au second round hakuna kuprint
Duuuuuhhhhhhhhhh braza hakuna kuprint we tulia tu hapo tayar hahahahaha unataka kuprint tenanimemaliza kujaza second round application lakini nikitaka niprint for reference inagoma au second round hakuna kuprint
mi mwenyewe ilitokea jana wakati nimejaza nne lakini nimemalizia leoJaman mi kwangu kila nikiclick make second selection kozi hazitokei inatokea page ambayo huja baada ya mtu ukiwa ushamaliza kujaza kozi zote wakati mimi sijachagua hata kozi moja. Msaada please
Sio lazima.Kwani lazima kujaza zote tano?
Bas mi tangu asubuhi imenigomea kuadd kozi mpaka sasami mwenyewe ilitokea jana wakati nimejaza nne lakini nimemalizia leo