Nawezaje kupima uwezo wa IQ yangu?

Nawezaje kupima uwezo wa IQ yangu?

1. Siku ukifumaniwa utajua tu IQ
2. Ukizaliwa mtoto wa nje kwenye ndoa
3. Mkeo akidai talaka.
4. Baba mwenye nyumba akutolee vyombo nje


Kupima IQ kazi ndogo tu mbona
Ya 4 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Siku ukifumaniwa utajua tu IQ
2. Ukizaliwa mtoto wa nje kwenye ndoa
3. Mkeo akidai talaka.
4. Baba mwenye nyumba akutolee vyombo nje


Kupima IQ kazi ndogo tu mbona
Vipi anayepaswa akusaidie anakudai?
 
Back
Top Bottom