bora umesema wewe mkuuRaini=laini
Tafadhari=tafadhali
P.S: Wewe nyang'au jifunze tofauti ya R na L
hapana huyu atakuwa ni msukuma wa mwanza, watu wa mwanza wana hiyo shida cha ajabu hata baadhi ya wasomi na walimu!We utakuawa mtu wa kigoma wewe
Jifundishe kuandika kwanza.Habari wana Jf kama kichwa kinavyosema nina hitaji raini ya safarcom nikiwa Tanzania mkoani Mwanza. Tafadhari mwenye uelewa juu ya jambo hili
Asante mkuuKama uko mwanza mkuu si usafiri tu hadi hapo mpakani sirari kisha bila kuvuka border unaeza agiza chinga yeyote upande wa pili yaani migori akakununulia akakuletea ukaifanyia roaming then ukaanza kuitumia ukiwa mwanza huko, zile wanazotengeneza jamaa wa IT itakuonesha tu kuwa unatumia line ya nje kwenye WhatsApp lakini huwezi kuitumia nje ya WhatsApp kama kutuma text za kawaida au kupiga na kupigiwa pia