Azam madereva wanalipwa laki moja kwa mwezi...hebu tafuta sehemu ingine
Baadhi ya hawa matajiri wetu wanyonyaji sana. Kuna mwaka nilipata kazi kiwanda cha Magunia Morogoro, mmiliki wake ni Mohamed Enterprises mshahara wakaniambia ni TSH laki 1.5 kwa mwezi af eneo la kazi ni kwenye mashamba ya mkonge. Nilichoka kabisa ukizingatia kipindi hicho ndio nilikuwa nimetoka chuo na expectations kibao. Sikutaka hata kuangaika ku bargain mshahara nao, nikajiondoka zangu.Azam madereva wanalipwa laki moja kwa mwezi...hebu tafuta sehemu ingine
Hahaaaaaa! Ungeenda tu, kuna hela kule OFF THE BALANCE SHEET NA IS lakini. Watu wanawaibiaje sasa? Balaaa!Baadhi ya hawa matajiri wetu wanyonyaji sana. Kuna mwaka nilipata kazi kiwanda cha Magunia Morogoro, mmiliki wake ni Mohamed Enterprises mshahara wakaniambia ni TSH laki 1.5 kwa mwezi af eneo la kazi ni kwenye mashamba ya mkonge. Nilichoka kabisa ukizingatia kipindi hicho ndio nilikuwa nimetoka chuo na expectations kibao. Sikutaka hata kuangaika ku bargain mshahara nao, nikajiondoka zangu.
9Azam madereva wanalipwa laki moja kwa mwezi...hebu tafuta sehemu ingine
Hahaaaaaa! Ungeenda tu, kuna hela kule OFF THE BALANCE SHEET NA IS lakini. Watu wanawaibiaje sasa? Balaaa!
sawa kabisa ukilinganisha kazi zingine hazina marupurupu,tunaishia kunyonga tai tu na kusubiri mwezi hadi mwezi.Kuna kitu nimejifunza hizi kazi za kushinda ofisini nyingi hazina dili kabisa, na issue sio kuangalia mshahara, ila ni kuangalia kama kazi inauhakika ya kuingiza pesa bila hata ya kumsumbua mhasibu mwisho wa mwezi mishahara ikichelewa kusoma. Tatizo hasa ni kujua kazi zipi zina michongo ya pesa kabla haujaingia.