Battery low
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 315
- 27
dowoad app inaitwa "adclear" itafute google haiko playstore. hii app ikiwa active iko mfano wa VPN yaani inafunga milango yote ya ads hadi zile ads kwenye video za yutube hutoziona tena. trust me.
kama umenipata lete mrejesho.
Kuna hizi apps zinaweza kuondoa hilo tatizo.
adaway
adblock plus
adclear n.k
Jaribu kugoogle mkuu zipo nyingi.
Hata lucky patcher ni nzuri kuna option ya kublock Goole ads
HAPA NI MUHIMU KUZINGATIA KWENYE APP HIYO UNAYOTAKA KUTOA MATANGAZO ITAONDOA MATANGAZO YALIYOKO KWA CHINI YA APP NA SIO YALE YALIOKO NDANI YA MAKALA ZA APP HIYO.
1. Ingia kwenye app ya Lucky Patcher kisha tafuta app unayotaka kutoa matangazo.
2. Kisha chagua OPEN MENU OF PATCHES
3. Bofya Create Modified APK Files
4. Kisha chagua APK WITHOUT GOOGLE ADS
5. Malizia kwa kubofya REBUILD THE APP
Natumain hii itakusaidia, Angalia Video hapo juu au soma hapa kujifunza kwa urahisi.
ndugu nisaidieni hili maana apps nying znakuja na matangazo yan yananiboa kinoma tena utakuta nyngne zmefunikwa kabsaaa
ndugu nisaidieni hili maana apps nying znakuja na matangazo yan yananiboa kinoma tena utakuta nyngne zmefunikwa kabsaaa
Adblock au Ad away ndo habari ya mjini
Lkn lazima uwe ume-root au ume install super user
Kuroot ndo nini au ni sawa na reboot naomba ushauri
...........................
Lkn lazima uwe ume-root au ume install super user
ndugu nisaidieni hili maana apps nying znakuja na matangazo yan yananiboa kinoma tena utakuta nyngne zmefunikwa kabsaaa
kuroot ndo kufanyaje mkuuRoot simu yako. Tafuta app inayoitwa Adaway. Hii app itakuwa ina-update host files kuzuia Ads kwenye apps unazotumia.
kuroot nako kuna madhara ganiSome screenshot
Nimejaribu kuroot Sony experia z kwa kutumia vRoot na program nyingi kadhaa bila mafanikio. Msaada tafadhali
kuroot nako kuna madhara gani
mbna kwngu inakuja blank page
- Angalia hii video, Itakupa mwanga wa nini cha kufanya.
mbna kwngu inakuja blank page