MARCO JOHN
Member
- Jun 1, 2012
- 96
- 35
Waungwana kuna uwezekano wa ku unlock iPhone yenye I cloud lock ? mwenye uelewa na hili swala naomba tusaidiane kupeana elimu asanteni.
Waungwana kuna uwezekano wa ku unlock iPhone yenye I cloud lock? mwenye uelewa na hili swala naomba tusaidiane kupeana elimu asanteni
waungwana kuna uwezekano wa ku unlock iPhone yenye I cloud lock? mwenye uelewa na hili swala naomba tusaidiane kupeana elimu asanteni
Solution ni moja ' Apple ID' hakuna suluhu nyingine mkuu. Hiyo ndio Apple
MARCO JOHN Toa details ya simu yako mi ntakupa msaada.
Ni iPhone gani na pia ina factory unlock? kama huna uhakika nenda imei.info kisha utapata details za simu yako. Hili tatizo la simu yako limekuja toka Apple walipo fix security patches kwenye iOS 7.x.x na kuendelea
Solution ziko tatu
1. Moja ni kama walivyo sema wengi hapa, mtafute aliyekuuzia akupe password au ipeleke Apple Shop kama una risiti ya Apple waliyokuuzia nayo (Original receipt)
2. Unaweza uka delete Apple ID (iCloud Account) kwa kupitia system file ya iPhone yako. Ila kwa hapa itafanya kazi kama tayari ilishawahi kutumika kwenye mitandao ya kitanzania.
3. Unaweza ku downgrade iOS yako kwenda iOS 6.1.3
1. Inawezekana
2 na 3 haiwezekani kwasabu simu ukiiwasha tu inakudai Apple ID ndio uendelee
Na ukisikia icloud lock basi ujue ndio hiyo security apple walioi fix
mkuu mi nina iphone 4s naomba msaada wa ku unlock niwe natumia lain za kibongoDondosha IMEI number watu tuifungue fasta, taarisha hela mkononi
mkuu mi nina iphone 4s naomba msaada wa ku unlock niwe natumia lain za kibongo
Mkuu I'm talking from experience mimi nina iPhone 4S ilikuwa na iOS 7.1.2 na iCloud Lock sasa hivi naitumia kama kawaida, tena yangu ilikuwa na iCloud ya mtu wa Australia. Nili downgrade kwenda 6.1.3. THANKS TO YOUTUBE
How to downgrade iOS 7.1.x to 6.1.3 on iPhone 4 (NO SHSH Blobs): https://www.youtube.com/watch?v=5tRd-77B-vg
NEW 7.1.2 Activation Lock Bypass: https://www.youtube.com/watch?v=8pAwCsXL28g
Usizoee kutafuniwa kila kitu Paul S.S fanya jitihada zako mwenyewe kwanza
Mkuu natumia simu siwezi kuangalia link hizo na kutoa comment yangu
Lakini ukienda youtube ukasearch jinsi ya kubypass hii kitu utapata matokeo zaidi ya video miatano zinazoelekeza lakini zote ni za uongo hakuna inayofanya kazi
Maadam umenipa hizi ntazifanyia kazi na wadau wenye iphone zilizolockiwa wapo watajaribu na kuthibitisha
Lakini kwasasa bado naamini haiwezekani