Kama unajua system files za iPhone (Ukitumia SSH utaziona) activation screen inaletwa na file lenye jina setup.app ambalo liko kwenye applications folder ya iPhone. Kuna simu nyingine uki delete hilo file inafunguka vizuri.
Ila kwa simu ambazo zimetoka mwisho wa mwaka jana na zina 7.1.2 and above, hizo ndio zimepigwa security kali. Ila kama unavyojua nothing is impossible hiyo security lock imetengenezwa na binadamu
DJ Willzz..
In a short thrift, it's not possible to go any other step after initial start up of I-phone which has been I-Cloud locked.
Most of the videos assume that one has already gone thru the I-cloud username and password stage and then you can downgrade the IOS level or upgrade as you so wish.
The issue here is HOW TO CRACK OPEN AN I-CLOUD LOCK and not how to upgrade or downgrade an IOS Level.
For someone to crack both the username and password of an
I-cloud locked phone is near impossible.
No one has explained it.
Waambie waelewe
Hapo kwenye downgrade hivi hii inawezekanaje?
matembele and Echolima I have iphone4 gsm (A4) which was icloud locked and it had iOS 7.1.2.
I have downgraded it without iCloud activation using iOS Soft Dev Pack and SSH Client called WinSCP. Mimi sitaendelea kubishana na wewe I'm a more of action person, lets meet somewhere with ur iPhone that was released before 2013.
If you win i give TZS 150,000, and if I win you give me TZS 150,000
matembele and Echolima I have iphone4 gsm (A4) which was icloud locked and it had iOS 7.1.2. I have downgraded it without iCloud activation using iOS Soft Dev Pack and SSH Client called WinSCP.
Mimi sitaendelea kubishana na wewe I'm a more of action person, lets meet somewhere with ur iPhone that was released before 2013.
If you win i give TZS 150,000, and if I win you give me TZS 150,000
Mkuu I'm talking from experience mimi nina iPhone 4S ilikuwa na iOS 7.1.2 na iCloud Lock sasa hivi naitumia kama kawaida, tena yangu ilikuwa na iCloud ya mtu wa Australia. Nili downgrade kwenda 6.1.3. THANKS TO YOUTUBE
matembele and Echolima I have iphone4 gsm (A4) which was icloud locked and it had iOS 7.1.2. I have downgraded it without iCloud activation using iOS Soft Dev Pack and SSH Client called WinSCP. Mimi sitaendelea kubishana na wewe I'm a more of action person, lets meet somewhere with ur iPhone that was released before 2013.
If you win i give TZS 150,000, and if I win you give me TZS 150,000
Mimi kwa Iphone 4 zilizotoka 2013 naweza kukubaliana na wewe ila nakataa kwa Iphone 4s na kuendelea.
iPhone 4S imekuwa release 2011, ila bado wanaendelea ku release ndio maana nikakuuliza iPhone 4S yako imekuwa released lini. Kwa kukusaidia ingia imei.info kisha ingiza IMEI namba yako itakuonyesha kuwa imekuwa released lini kisha niambie
He! nilikuwa nasoma comments tu imebidi niulize, ina maana apple bado wanazalisha iPhone 4s mpaka leo mkuu?!
iPhone 4S imekuwa release 2011, ila bado wanaendelea ku release ndio maana nikakuuliza iPhone 4S yako imekuwa released lini. Kwa kukusaidia ingia imei.info kisha ingiza IMEI namba yako itakuonyesha kuwa imekuwa released lini kisha niambie
Kama unajua system files za iPhone (Ukitumia SSH utaziona) activation screen inaletwa na file lenye jina setup.app ambalo liko kwenye applications folder ya iPhone. Kuna simu nyingine uki delete hilo file inafunguka vizuri.
Ila kwa simu ambazo zimetoka mwisho wa mwaka jana na zina 7.1.2 and above, hizo ndio zimepigwa security kali. Ila kama unavyojua nothing is impossible hiyo security lock imetengenezwa na binadamu
Leo nmeweza ku bypass iphone 5 ila haifungui app yoyote zaid ya facetime app
"Mmiliki wa simu aliuwawa na majambazi na kuibiwa gari pamoja shilingi za kitanzania milioni 20 pamoja na simu aina ya iphone" MKUU UKIJIKUTA MBELE YA POLICE UNATAMKIWA HAYO MANENO UTAJISKIAJE?
Kwa msaada tu kama ya wizi ujue utaweza shikwa mda wowote, na kama ni ya mtu mwambie akupe password husika kama hawezi mrudishe simu yake period!!