Nawezaje kumuacha huyu msichana

Nawezaje kumuacha huyu msichana

Huo uandishi ni dhahiri kwamba inapnyesha bado u kijana mdogo. Subiri subiri ukikua utajitambua na watoto wakike hawatakuendesha tena.

Dhambi kubwa kwa mtoto wa kiume ni kumuacha mtoto wa kike akutambue madhaifu yako. Sasa yeye ameshakutambua kua ni umekufa kuoza kwake.


Bagwell
 
Sijawahi ona mwanafunzi wa chuo anaandika hovyo hivi ata sijamaliza kuisoma utanisamehe bro nadhan kwa story yake wewe utakuwa ndio tatizo hujielewi. Bat>But. Hivi kuna ugumu gani kwenye R mtu anatumia L. Job true true

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fedha ni shule mpya au ulimaanisha Feza..Anyways jaribu sana kutafuta pesa kama una boom lako jaribu kulitumia vizuri utapata mabinti size zako kabisa
 
we kaa chini ya mwembe kufaidi kimvuli, wenzio wako juu ya mwembe wanafaidi embe changa kwa chumvi!subiria maganda chini
 
Japo hua nnamcheati bila yeye kujua..........................................................

Sasa mbona wewe akikucheat kinauma?

kelphin kepph
 
bat + misumari= paa la nyumba
Nimecheka sana nimekumbuka game moja huwa nacheza inaitwa Alchemy2🤣🤣🤣🤣🤣🤣

1583842907735.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom