Nawezaje kumuacha huyu msichana

Nawezaje kumuacha huyu msichana

J boaz

Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
15
Reaction score
7
Ndugu zangu mim ni mwanafunzi wa chuo ambae nipo kwenye mahusiano na msichana ambae ni mdogo kiumri kwangu pia bado mwanafunzi yupo form6 fedha girls saivi na ni msichana ambae kwao kuna uwezo na mimi nipo kwenye standard level.

I mean maisha ya kati but mwanzo nilimfata baada ya kuwa tuna bishana na rafiki yangu kama siwezi kumpata at the end nilifanikiw but siku zilivyo zidi kwenda nilijikuta nampenda kupitiliza na yeye pia alikuwa akinipend kiasi icho paka saivi tangu nianze naye mahusiano tuna mwaka na nusu mpaka sasa na nina miezi sita sijafanyane chochote japo ilo sio tatizo kwangu mana nampenda ila tatizo saivi amebadilik sana tofauti na mwanzo.

Japo huwa namcheat bila yeye kujua na hata akiambiwa hawezi kuamini kwa jinsi nivyokuwa namtreate zawadi za kutosha namtoa out kwa kiasi chake pia alikuwa akifanya ivyo ivyo na kupitiliza kodi ya nyumba alikuwa akinilipia tulikuw tuna share each and everything bat last time kabla ajaenda shule nikakuta ameanza kuweka passwords kwenye upande wa message ukipiga cm usiku unakuta inatumika amebadilika sana saivi nilijaribu kumuwek saw inashindikan na anampost mtu ambae alikuw anamtak nikimuuliz anasema just friend naumia sana.

Ila ilifika mda nikamwambia naomba tuachane aendelee na mambo yake ila chakushangaz ikifika kesho yake unakut sms nzuri kama amjaachan mwisho wa siku najikut naendelea nae zaidi ya mala2 imetokea nifanyaje niweze kumuepuka au kumuweka sawa tuishi kam mwanzo naombeni ushauri kwa wenye experience.
 
unamuomba muachane still unatoa tu macho unahisi wachina walioweka option za ku block wajinga,, ukiona anakupotezea muda mblock ufanye mambo yako.. af stori uliyotoa na kichwa cha habari haviendani sa ushua wake kwenye storiii umehusikaje kama zawadi na outing ulikua una pigika wewe wanachuo bwana wakirudi likizo linakuwaga tatizo sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
unamuomba muachane still unatoa tu macho unahisi wachina walioweka option za ku block wajinga,, ukiona anakupotezea mda mblock ufanye mambo yako.. af stori uliyotoa na kichwa cha habari haviendani sa ushua wake kwenye storiii umehusikaje kama zawadi na outing ulikua una pigika wewe wanachuo bwana wakirudi likizo linakuwaga tatizo sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
APOnimejaribu kuelezea kwa upande wangu but amenisaidia vingi sana izo outing zilikuwa zakulinda penzi asione namtegemea sana yeye
 
Piga miti Acha uzembe
Ukweli mchungu Huyo anakuacha live Jiandae kisaikolojia anatengeneza mazingira saiv
Taratibu usishtuke Mimi yalinikuta Kama yako exactly kabisa.

Sasa fanya juu chini piga miti halafu tulia tuliii hata akikuacha hata kaa akunyime Papuch

Mimi baada ya kuona mapicha picha nikajitahid kupiga miti halafu nikatulia tuliii

Akawa anaendelea na jamaa yake mpya
Ila mpaka Leo ananipa Papuch mzee baba

Tena nikimuambia Leo nina genye fanya utaratibu
Faster anakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Bila shaka hamjaanza kujifunza uandishi wa insha shuleni kwenu.

2. Kujihusisha na mapenzi shuleni ni kucheza kamali.
Unaweza kuishia njiani na kukatiza ndoto zako kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww kinachokusumbua ni kulipiwa kodi umeshazoea kitonga,huyo Demu hata ukimwacha hataumia yy hata kidogo kwa sababu anamtu anaenpenda co ww...ila ww utaumia Sana kwa sababu utakosa wa kukulipia kodi huo ndo ukweli...acha kupenda kitonga boya ww... tafuta pesa ununue penzi


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom