Nawezaje kumtambua mwanamke aliyewahi kujifungua?

Wewe unataka chuchu saa 6?

Embu muulize maana haiwezekani mtu hajazaa nyonyo ilale

Kuhusu tumbo wanasema kila mtu kuna jinsi alivyoumbwa, kuna wengine wakizaa linabaki vile vile, wengine linaachia kidogo na michirizi.

Mm navyojua tumbo ambalo halijabeba mtoto lazima liwe natural

Kuhusu uke, mmmmh hapo kuna mengi, wenda hajazaa ila anafanya mapenzi mara kwa mara.

Pole muulize direct
 
Acha hizo bhana, anakuheshimu? Ananidhamu? Unamuelewa sana? Unamkubali? Anafaa kuwa mke? Basi hayo achana nayo, ila tafuta mtu wake wa karibu anayeweza kuwa mkweli kwako akupatie historia yake kama.aliwahi kuzaa utajua, zaidi ya hayo OA
Waliozaa hawaolewagi??? kaka unaweza kuta aliyezaa akawa anafaa kuwa mke kuliko huyo ambaye vidole viwili havipiti.By the way Limau linaweza kukumis lead ukajua bado kumbe looooh!!!!!
 
Kila kitu kipo sawa,mkanganyiko uliopo ni suala la mhusika kutokua muwazi kwenye sensitive issue kama uzazi.
 
Mwanamke aliyelegea tumbo Mara nyingi anakua ameshazaa,,,ila pia watu matumbo hayajalegea wamezaa

Ila kuhusu nyonyo kulala,,kuna wasichana hawajazaa lakini nyonyo imelala kabisa ,,

Halafu kuna k inaingia vidole viwili jamani na Ulianzaje kuviingiza,,wanaume mnatutesa jamani
Huyo atakua na kibamia kwani mwanaume aliejaliwa mashine kubwa hawez kupima ukubwa wa k kwa kidole
 
Wewe unataka chuchu saa 6?

Embu muulize maana haiwezekani mtu hajazaa nyonyo ilale

Kuhusu tumbo wanasema kila mtu kuna jinsi alivyoumbwa, kuna wengine wakizaa linabaki vile vile, wengine linaachia kidogo na michirizi.

Mm navyojua tumbo ambalo halijabeba mtoto lazima liwe natural

Kuhusu uke, mmmmh hapo kuna mengi, wenda hajazaa ila anafanya mapenzi mara kwa mara.

Pole muulize direct

Hmm
 
Mkuu jaribu vidole vitano tuone,vikiingia weka mkono. ,ukiingia weka mikono miwili afuu subili ,,,, ukimaliza njoo pm nikupe mrejesho
 
Umeanza vizuuri ukamalizia vibaya. Katika mambo yote, mke ni yule atakayekupenda na kukuheshimu. Hata ukioa bikra kutoka kijijini. Chunga sna asikanyage darisalamaaa, Jiji lenye watu wenye kiswahili hadi nyoka anatoka pangoni na kuuhama mji bila hata fimbo. Kama hana heshima kwako, ataliwa tu.
Muulize wewe mwenyewe tu taratiibu; Je, laaziz, umewahi kuzaa?? Atakalokujibu itategemea na wewe umeonesha sura gani. Lakini kama hujawahi mshtukiza, atakuambia tu kuwa nina mtoto au alifariki baada ya muda flani.
Ushauri wangu; Inaonesha wewe una tatizo la kutojiamini na huenda ni ile team kiba100. Usijali umbile lako hadi kwenda kuweka vidole mle. Najiuliza; Ni vidole gani unapimia?? Sijivuni ila mche wangu ukikasirika huwa unavimba kuliko vidole vyangu viwili pamoja. Sasa weye unasema ati tuvidole tuwili tu, tiyari ni kipimo cha aliyezaa?? Naogopa. Mtu akikuchukia hutafuta kila sababu. Mpende huyo mwenzio, utachelewa ukichagua na wenzio waje kuchukua yule wife material wako. Kambale huliwa japo huishi mtoni tunakotiririshia mbolea ya usiku.

Ni vizuri mtu akawa muwazi kwako, akakueleza ukweli wote. Kama kazaa akueleze na sio kuficha kisa eti anakuheshimu au kukupenda.
 
Kuna watu hawajazaa maziwa yashadondokaa "poleni sana "
Mwanamke ambae sio bikra lazima vidole viwili vipite awe amezaa au hajazaa ..
Kuna wengine ukimuona tu unaweza dhania ana watoto 3 lakin kumbe hana hata mmoja na kuna wengine wana watoto wengi ila wana miili mizuri tu na unaweza dhanua hajazaa
The Choise is yours bro

Wako wengine sio bikra ila nyapu ziko tight, kutanuka kwa nyapu kunatokana na matumizi. Kama anapiga game sana au kajifungua lazima nyapu itanuke.
 
Habari wakuu,kuna jambo limenitatiza japo kwa wengine inaweza kuwa rahisi kulingana na asili ya mazingira waliokulia.Kwa ufupi nina mchumba tumeahidia kuishi pamoja hapo baadae,tatizo limekuja wakati tunanjunjika kwa mara ya kwanza (sababu tulikua maeneo tofaut haikua rahisi kuonana mara kwa mara)

Mrembo wangu maziwa yameshuka ili linamtatiza mpaka yeye anaficha kwa kufunik na kipande cha nguo,kule chini mamb sio haba kuna space ya kutosha kwa kawaida kumfaham aliekwisha jifungua unazamish vidole viwili kwa wakat mmoja vikipita basi hapo tayari.

Pia kwa upande wa tumbo limelegea sana upande wa mbele linamwonekano flani wa makunyanzi.Japo kuwa mapenzi ni upendo ila kudanganyana sio suala zuri ni chanzo mahusiano mengi kupungu na kufa kwa ujumla.

Najua sio hekima na busara kuuchambua urembo wa mpendwa wangu ila ningependa kujiondoa hofu niliyonayo.Nategemea kupata michango mbalimbali toka kwenu lengo langu ni kujihakikishia tayari au bado ikumbukwe pia abortion ni nusu ya kujifungua.
Kama hamjaonana zaidi ya miezi saba, kaa chonjo nae.
 
Back
Top Bottom