Nawezaje kumtambua mwanamke aliyewahi kujifungua?

Acha hizo bhana, anakuheshimu? Ananidhamu? Unamuelewa sana? Unamkubali? Anafaa kuwa mke? Basi hayo achana nayo, ila tafuta mtu wake wa karibu anayeweza kuwa mkweli kwako akupatie historia yake kama.aliwahi kuzaa utajua, zaidi ya hayo OA

Umeanza vizuuri ukamalizia vibaya. Katika mambo yote, mke ni yule atakayekupenda na kukuheshimu. Hata ukioa bikra kutoka kijijini. Chunga sna asikanyage darisalamaaa, Jiji lenye watu wenye kiswahili hadi nyoka anatoka pangoni na kuuhama mji bila hata fimbo. Kama hana heshima kwako, ataliwa tu.
Muulize wewe mwenyewe tu taratiibu; Je, laaziz, umewahi kuzaa?? Atakalokujibu itategemea na wewe umeonesha sura gani. Lakini kama hujawahi mshtukiza, atakuambia tu kuwa nina mtoto au alifariki baada ya muda flani.
Ushauri wangu; Inaonesha wewe una tatizo la kutojiamini na huenda ni ile team kiba100. Usijali umbile lako hadi kwenda kuweka vidole mle. Najiuliza; Ni vidole gani unapimia?? Sijivuni ila mche wangu ukikasirika huwa unavimba kuliko vidole vyangu viwili pamoja. Sasa weye unasema ati tuvidole tuwili tu, tiyari ni kipimo cha aliyezaa?? Naogopa. Mtu akikuchukia hutafuta kila sababu. Mpende huyo mwenzio, utachelewa ukichagua na wenzio waje kuchukua yule wife material wako. Kambale huliwa japo huishi mtoni tunakotiririshia mbolea ya usiku.
 
nyonya chuchu zikifunguka jua tayari,, ukinyonya alafu zisipotoka jua bado kunyonyesha , OVER
 
Mwanamke aliyelegea tumbo Mara nyingi anakua ameshazaa,,,ila pia watu matumbo hayajalegea wamezaa

Ila kuhusu nyonyo kulala,,kuna wasichana hawajazaa lakini nyonyo imelala kabisa ,,

Halafu kuna k inaingia vidole viwili jamani na Ulianzaje kuviingiza,,wanaume mnatutesa jamani😂😂😂
 
Habari wakuu,kuna jambo limenitatiza japo kwa wengine inaweza kuwa rahisi kulingana na asili ya mazingira waliokulia.Kwa ufupi nina mchumba tumeahidia kuishi pamoja hapo baadae,tatizo limekuja wakati tunanjunjika kwa mara ya kwanza (sababu tulikua maeneo tofaut haikua rahisi kuonana mara kwa mara)

Mrembo wangu maziwa yameshuka ili linamtatiza mpaka yeye anaficha kwa kufunik na kipande cha nguo,kule chini mamb sio haba kuna space ya kutosha kwa kawaida kumfaham aliekwisha jifungua unazamish vidole viwili kwa wakat mmoja vikipita basi hapo tayari.

Pia kwa upande wa tumbo limelegea sana upande wa mbele linamwonekano flani wa makunyanzi.Japo kuwa mapenzi ni upendo ila kudanganyana sio suala zuri ni chanzo mahusiano mengi kupungu na kufa kwa ujumla.

Najua sio hekima na busara kuuchambua urembo wa mpendwa wangu ila ningependa kujiondoa hofu niliyonayo.Nategemea kupata michango mbalimbali toka kwenu lengo langu ni kujihakikishia tayari au bado ikumbukwe pia abortion ni nusu ya kujifungua.
Hiyo vidole achana nayo kuna wabinti wanamabwawa hata kabla hajazaa, ukimwangalia vidole vya miguuni au midomo unajua tu hapo ni stiglers gorge. Nikushauri tu we unaonekana humtaki hujapendezwa nae bora umuache mapema ajijue
 
Chuchu zinafunguka vip Mr??
Chuchu kufunguka haimanishi keshazaa, bali nikithihitisho tosha kua aliwah beba mimba..sasa mimba inaeza kua alitoa au alizaa.

Tumbo makunyanzi namikunjo kunjo Keshazaaa.

K ilozaa sio rahisi kuijua kwakua K imeumbwa kutanukaaa na kusinyaaa ,wenda alikua atiwa sana???nani anajua???

Kuna K zmezaa lkn ukikutana nazo mpaka unahisi upo Paradiso maana kitu kinabanaaaa na chamotooooo???

So kusema K nikubwaa au ndogo kutategemea na Mashine yako lkn usisingizie kua Kazaa.

Muhim cheza na manyonyo+ tumbo lake nyama zimelegea??zimejikunja??? Mana hapa wanawake wengi huwa hawawezi kurudi km awali.




Mwisho..... Mwanamke kama hajataka ujue keshataka unaweza usijue ,muhim mbane akuambie
 
Kuna watu hawajazaa maziwa yashadondokaa "poleni sana "
Mwanamke ambae sio bikra lazima vidole viwili vipite awe amezaa au hajazaa ..
Kuna wengine ukimuona tu unaweza dhania ana watoto 3 lakin kumbe hana hata mmoja na kuna wengine wana watoto wengi ila wana miili mizuri tu na unaweza dhanua hajazaa
The Choise is yours bro
 
Kuna watu hawajazaa maziwa yashadondokaa "poleni sana "
Mwanamke ambae sio bikra lazima vidole viwili vipite awe amezaa au hajazaa ..
Kuna wengine ukimuona tu unaweza dhania ana watoto 3 lakin kumbe hana hata mmoja na kuna wengine wana watoto wengi ila wana miili mizuri tu na unaweza dhanua hajazaa
The Choise is yours bro
Mfano Uwoya.
 
Kwa hiyo ukiisha muoa na akakuzalia mtoto utamwacha au??? BTW una umri gani mkuu???? tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom