Nawezaje kumpa mtu link

[/www.jamiiforums.com]HAPA

Dah!! pole sana ndugu yangu. ngoja nikupe maelekezo kwa maneno.
ANZA NA [ HALAFU ANDIKA NENO url HALAFU WEKA = BAADA YA HAPO WEKA ANUANI YAKO YAANI LINK IKIWA NDANI YA FUNGA SEMI NA FUNGUA SEMI MFANO "www.jamiiforums.com" HALAFU WEKA ] BAADA YA HAPO WEKA SASA MANENO AMBAYO UNATAKA MTU AKICLICK YAMPELEKE JWA HIYO LINK BAADA YA KUWEKA HAYO MANENO WEKA [/url] HAPO UTAKUA UMEFANIKIWA. KUMBUKA KUTOWEKA SPACE KATI YA HAYO MANENO NA HIZO ALAMA
Mfano: (url="www.jamiiforums.com")HAPA(/url) HAPO KWENYE MABANO YA ( au ) WEKA MABANO YA [ au ] KAMA MIMI NINGEWEKA MABANO YA [ au] USINGE ONA KITU BALI UNGEONA NENO HAPA LIKIWA LIMEBEBA HIYO LINK YA JF. PIGA ZOEZI UTAFANIKIWA TU MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…